Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Wapendwa wana Jf
Naona watu wengi wamekuwa wanaongelea magari na kusahau kundi kubwa la wajasiriamali waliopo kwenye pikipiki;
Napenda kukumbusha kwa wale wamiliki HALALI wa pikipiki kuwa mwisho wa kusajili ni tar 31 March 2015.
Epuka usumbufu kasajili sasa.
Binafsi naona hili wazo la kusajili pikpiki ni Jema kwani pamoja na kurasimisha Pikipiki kutofautisha zile za Biashara na zile za Binafsi (Private)
WATAWEZA KUBANI ZILE ZA WIZI KWANI ZITABAKI BILA KUSAJILIWA KWA KUKOSA KADI RASMI (ORGINAL)
Naamini hili likifanyika kwa usahihi bila rushwa ya kusaidiwa kusajili kutabakia mamia kama sio maelfu ya Pikipiki zilizo ibiwa kwan watashindwa kuzisajili.
Tutamani kungekuwa na ubao/mbao za kuandika namba za pikipiki zilizo ibiwa na kukamatwa kwenye vituo vya Polisi ili wenye pikipiki waweze kuzitambua.
Walio ibiwa Pikipiki wengi hubaki wameduwaa mitaaani bila kujua kuwa kuna Pikipiki zimepatikana/pia hujiuliza, kama zikipatikana hazitangazwi kabisa au zinatangazwa kidogo sana kama danganya toto...huwa zinakwenda wapi???
Naona watu wengi wamekuwa wanaongelea magari na kusahau kundi kubwa la wajasiriamali waliopo kwenye pikipiki;
Napenda kukumbusha kwa wale wamiliki HALALI wa pikipiki kuwa mwisho wa kusajili ni tar 31 March 2015.
Epuka usumbufu kasajili sasa.
- Unatakiwa kuwa na kadi halisi ya Pikipiki na kitambulisho rasmi cha kwako.
Binafsi naona hili wazo la kusajili pikpiki ni Jema kwani pamoja na kurasimisha Pikipiki kutofautisha zile za Biashara na zile za Binafsi (Private)
WATAWEZA KUBANI ZILE ZA WIZI KWANI ZITABAKI BILA KUSAJILIWA KWA KUKOSA KADI RASMI (ORGINAL)
Naamini hili likifanyika kwa usahihi bila rushwa ya kusaidiwa kusajili kutabakia mamia kama sio maelfu ya Pikipiki zilizo ibiwa kwan watashindwa kuzisajili.
Tutamani kungekuwa na ubao/mbao za kuandika namba za pikipiki zilizo ibiwa na kukamatwa kwenye vituo vya Polisi ili wenye pikipiki waweze kuzitambua.
Walio ibiwa Pikipiki wengi hubaki wameduwaa mitaaani bila kujua kuwa kuna Pikipiki zimepatikana/pia hujiuliza, kama zikipatikana hazitangazwi kabisa au zinatangazwa kidogo sana kama danganya toto...huwa zinakwenda wapi???