Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume hatuna mwanamke mmoja kuna yule "mtakuja" hata uende wapi jioni utarudi utamkuta alafu kuna vipoozeo sasa,
Kuna njia kibao nimasave michepuko kiujanja kitu kinachonifanya hata nikimuachia simu mama yao sina hofu na style izo n hizi;
Wakwanza nimemsave-(Huduma kwa wateja)
Mwingine nimemsave-100 huyu anakujaga bila taarifa
Mwingine nimemsave -M PESA na mwingine TIGO PESA hawa ni wapenda hela
Na mwingine nimemsave Magu huyu anakuja kwa kushtukiza
Kuna wengine newasave BIKO
Kuna mwingine nimemsave Voda Taarifa
Hivyo hata nikiwa na main road hata sms ikiingia sina wasiwasi utaona ananipa simu anasema Tigo awoo wanakusumbua.
Wewe unasavuje michepuko yako main chick asikudake??!Itakua poa na ukitoa maana yake
Kuna njia kibao nimasave michepuko kiujanja kitu kinachonifanya hata nikimuachia simu mama yao sina hofu na style izo n hizi;
Wakwanza nimemsave-(Huduma kwa wateja)
Mwingine nimemsave-100 huyu anakujaga bila taarifa
Mwingine nimemsave -M PESA na mwingine TIGO PESA hawa ni wapenda hela
Na mwingine nimemsave Magu huyu anakuja kwa kushtukiza
Kuna wengine newasave BIKO
Kuna mwingine nimemsave Voda Taarifa
Hivyo hata nikiwa na main road hata sms ikiingia sina wasiwasi utaona ananipa simu anasema Tigo awoo wanakusumbua.
Wewe unasavuje michepuko yako main chick asikudake??!Itakua poa na ukitoa maana yake