Umeshaisikiliza 'Shika adabu yako' ya Ney wa Mitego?

Umeshaisikiliza 'Shika adabu yako' ya Ney wa Mitego?

Ni wimbo mzur,nimeuskiliza wote,na mtambue kuwa stail ile ndo inayombeba Ney
 
Mkuu kuanzia miaka 18 milango iko wazi kuondoka nyumbani, ukichelewa mpaka umefikisha 24 bado uko home ujue unawaletea gozigozi ila wanashindwa kusema. Sasa huyu miaka 35 bado anapishana mlangoni kwenda chooni na mama bado unauliza kunaubaya gani, kweli?

Ni maamuzi tu baina ya familia husika,
Sio kila mzazi anapenda kuishi mbali na mwanae.
 
Sasa shida ya huu wimbo uko wapi??? Kuna mahali jamaa kaimba uongo??? Mbona Zile nyimbo zake za Nyuma zilikua na ukakasi kuliko hii na hawakufungia?? Au kisa kataja BASATA, MAGU na Hapa kazi tu??
Haija fungiwa mkuu ni propaganda tu za kwenye social media ngoma bado inapata airtym ya kutosha redio station zote
 
Back
Top Bottom