Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huyo alieimbwa hapo ni diva loveness?
"my new ride" Diva supermario................mmh mm napita tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"my new ride" Diva supermario................mmh mm napita tu.
ni Niva bana.....huyu mleta lyrics ndo kamquote vibaya nay.Huyo alieimbwa hapo ni diva loveness?
Cc NifahShetta kutwa nzima ni kushinda nyumbani kwa diamond mbaya zaidi anaenda na familia yake pooooooor kishetttaa!!
Ha ha ha haaa,ujue ww ndo unanchekesha sasaHa ha ha ha du! we jambazi usinichekeshe bna ina maana sheta ana shinda kwa mond au anafuata swimming pool.
Mkuu kuanzia miaka 18 milango iko wazi kuondoka nyumbani, ukichelewa mpaka umefikisha 24 bado uko home ujue unawaletea gozigozi ila wanashindwa kusema. Sasa huyu miaka 35 bado anapishana mlangoni kwenda chooni na mama bado unauliza kunaubaya gani, kweli?
Haija fungiwa mkuu ni propaganda tu za kwenye social media ngoma bado inapata airtym ya kutosha redio station zoteSasa shida ya huu wimbo uko wapi??? Kuna mahali jamaa kaimba uongo??? Mbona Zile nyimbo zake za Nyuma zilikua na ukakasi kuliko hii na hawakufungia?? Au kisa kataja BASATA, MAGU na Hapa kazi tu??
Times fm wametoka kuicheza muda si mrefHaija fungiwa mkuu ni propaganda tu za kwenye social media ngoma bado inapata airtym ya kutosha redio station zote
Sheta=tahira/chizi chizi kidogo!sheta ndio shetani?