Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
Ila sahivi vipi? Bad looking bado ipo maana mie ndio ugonjwa wangu huo? Sipendagi kushea mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 anajaribu kupima kina cha maji kwa kuzamisha miguu yote kisimani.umemaliza
ajaribu tu aone utofauti wa baharia na Konda wa dala dala.
🤣🤣🤣🤣🤣 kama ipo nitangaze nia tu ya kukamata jimbo.Hahahaha, we jamaa fala sana.
[emoji23][emoji23]Yani anajitapa kuwa atajibu majibu ya kanga mbele ya baharia...Kuna ule msemo wa "kenge hasikii mpaka sikio lake litapotoka damu" nitaukamilisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ipo nitangaze nia tu ya kukamata jimbo.
Baba acha tu, wanaitaga "Eli Kitongaa na Ngai" 🤣🤣🤣Wazee wa neutral gear [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwachie mwarabu fighter huyomwanamke umempa shoo ya kibabe saivi Goli 5 unaenda kazini
ukirudi anataka tena GOLI 5 unajua unaweza kufa hivi hivi
kuna madem engine zao ni za Lamborghini sasa anakutana na mimi mwanaume
nina ka engine cha SUBARU unajua lazima nichemke....
Hahahah hivi naanzaje kupiga bao 5 usawa huu! Unakula mbili za mkwezi tu kisha wasalimie. 3 Nimekupendelea sana, sina mboo ya mchezo mimi 🤣🤣🤣hawa viumbe wengine ni wa roho tu
Mkiona vyaelea mjue vimeundwahamna raha mmekaaa wanaume halafu anatokea mpenzi wako yuleeeee wanaume wenzako wanasema
oyaaaaa chekini mtoto yulee chekiniiii chekishiaaa daaaaah kuja kuangalia vizuri ni Dem wako
unawanyamazisha wana unawaambia "kuweni na adabu na shemeji yenu" hawaamini unachowambia
mtoto anafika unamkumbatia unamkiss unamleta karibu unampakata unamtambulisha kwa wanaoo
Unajua ile feeeling mzeeeeeee unajihisi upo na dem mzuri dunia nzimaaaaa hamna wakumkutia.
ILA sasa mtu anakuja kavaa ligauni la kijani mgomba, anatembea kama MATUMAINI aseee ukifika naeza kukusalimia
shikamooooo dada.
Mtu anakuomba 30,000. Unamwambia nina 10,000 ananuna. Utafikiri naye ana hela kumbe hata 5,000 kwenye mfuko hana. Mwanamke mpiga viziga hafai kwa ndoa aise maana siku ukiwa tajiri lazima akuue ili amiliki pesa na siku ukiyumba kidogo kiuchumi, atabebwa na mwingine. Wanawake wanaopinga vizinga wanamapenzi ya kuigiza. Akikuomba pesa ukamnyima, tayari amenuna na kwenye mawasiliano huwa wabovu sana. Huwa hawana maneno matamu ya mapenzi pale ambapo hajakuomba hela ila siku akiomba hela. Ataanza baby sijui honey, ataandika maneno matamu matamu ujue anaomba hela. Kama demu wako huwa hakutumii sms za mapenzi wala kukupigia simu. Siku ukiona sms ya maneno matamu matamu, ujue unapigwa kizinga.Oohh basi wasubirieni hao wazuri wasio na vizinga
CongratulationsWhy ugomvi kila saa, wanawake bana. Mi sionagi sababu ya makelele zaidi ya kupeana mahaba tu ukiwa na mwanamke msikivu na mwaminifu.
Mapenzi yanakuwa full of fun if you do stuffs together as friends. Mnacheka pamoja na kupanga mipango yenu ya maisha, doing activities together.
Shida ya wanawake wa kibongo ni umalaya, anataka awe na wewe ila akianza kutongozwa nje anahamishia attention na huko matokeo yake ni kutaka ku sneak out. Ukiwa strict kumfatilia anaona unambana bana. Anaona unam suffocate...
Wengine tukiwa kwenye mahusiano hatupendagi jam, ukianza kuonesha tabia za ajabu ntakubana mpaka utaniona kero. Mwisho ntakukamata na tutaachana tu.
Hakuna mwanamke asiyependa kupendeza hiyo kabati inavunjwa bila kununuliwa nguo.Aise, mkuu umenichekesha sana aise, hawa dada zetu hawajui kabisa pale kwenye mtoko inabidi wavunje kabati maana hakuna mwanaume asiyependa kusifiwa kuwa demu/ mke wako ni kisu huwa tunafurahi kwelikweli...
Sio demu wako anafika kwenye sherehe kila mtu anafanya kumnyooshea kidogo vile alivyokuwa mporipori unaweza mkana mtu nakuambia aisee..
Vimeundwa na nani?Mkiona vyaelea mjue vimeundwa
Mtu anakuomba 30,000. Unamwambia nina 10,000 ananuna. Utafikiri naye ana hela kumbe hata 5,000 kwenye mfuko hana. Mwanamke mpiga viziga hafai kwa ndoa aise maana siku ukiwa tajiri lazima akuue ili amiliki pesa na siku ukiyumba kidogo kiuchumi, atabebwa na mwingine. Wanawake wanaopinga vizinga wanamapenzi ya kuigiza. Akikuomba pesa ukamnyima, tayari amenuna na kwenye mawasiliano huwa wabovu sana. Huwa hawana maneno matamu ya mapenzi pale ambapo hajakuomba hela ila siku akiomba hela. Ataanza baby sijui honey, ataandika maneno matamu matamu ujue anaomba hela. Kama demu wako huwa hakutumii sms za mapenzi wala kukupigia simu. Siku ukiona sms ya maneno matamu matamu, ujue unapigwa kizinga.
Sura personalIla sahivi vipi? Bad looking bado ipo maana mie ndio ugonjwa wangu huo? Sipendagi kushea mimi 🤣🤣🤣
Your honor, Sir!!!Hahaa dah; Haya njoo uchukue zawadi yako. CongratulationsView attachment 1259348
Hizo uhakika, headache less.Sura personal
Hapo Ni baada ya kunifosi kwa muda mrefu nimjibu[emoji23]Mtu mkimya hawezi kutoa majibu ya kishenzi kama uliyoandika post ya kumjibu sweetlie