Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Mi nilikuaga na huyo babe yaani yeye ana priorities zake, Mimi sipo kabisaa kwenye ratiba zake,ukimpigia simu he's busy always yani, mpaka akutafute yeye

Sasa iloniboa ni hii, ilikua graduation yake chuo, sasa mama watoto huku nimejiandaa na kijizawadi nini , nimefika Kwa graduation ni busy busy tuu, nikaishia kumpa zawadi faster, sijaoneshwa ndugu yake yeyote,afu ananambia kuna sehemu tumeandaa party tunaenda na washkaji see youu, kha nikaona mmh hii Gari haifiki popotee, ila nimekumbuka huenda ni hii bad looking., na nakumbuka nilivyokua nimevaa mshamba first year student mimi,naona alihisi atachekwa na wenzie tu[emoji3] [emoji3] simlaumu sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja huyo alikuwa ni vizinga tu mwanzo nilikuwa nampa kama anavyotaka nikihisi ataona aibu kwa vizinga vya kila mara.

Kadri navyo mpa ndivyo anaongeza moto walahi nilikimbia mahusiano.

Walahi yule alikuwa hana aibu si kwa vizinga vile karibia kila siku.

Hata papuchi sikugusa maana sikutaka aseme nimechakata papuchi ndio nimekimbia.

Nilikimbia kiroho safi ila si kwa vizinga vile.
Poleni sana
Kuna mmoja huyu Juzi Juzi nimeona niachane nae maana niliona Safari ya kuanzia Mtoni kwa azizi ally mpaka Mbagala Tu haiwezekani

Kisa kiko hivi beibe nimeichoka IPhone yangu 7+ nataka XR, nikamwambia Mfuko wangu unaweza ku Afford 8+ hiyo XR siwezi si kwamba sina ila siwezi weka bajeti huko kwenye mambo ya fashion na luxury ambazo Kimsingi hazina mwisho na kila siku zinatoka mpya

Majibu yake sasa ooooho hauwezi kunipangia choice unayotaka wewe mimi natumia brand ninayotaka Mimi, nikajisemea Dooh hapa gari haiwezi kufika Safari nikashuka njiani

Nb; Sikulalamika nikamuacha na Maisha yake, Jaribu kumbadilisha mwenzi wako ukiona haiwezekani Walk away Don’t kill yourself [emoji120]
 
Upendeleo hudanganya na uzuri ni ubatili bali mwanamke amchaye Bwana ndiye atakaesifiwa. (Mithali 31:30) uliweza isome yote ikipendeza hii iwe standard yako

Muhimu weka vigezo vya unaemtaka lakini Muombe Mungu kwa imani yako, fuata amri zake,sheria na taratibu zake... Lakini jitahidi usiwe na haraka kwenye mahusiano jipe muda na chunguza hata katika namna muhisika hajui ili kabla hujafanya maamuzi uwe na picha kamili.....
Respect is earned...never granted. You've earned mine kwakweli Karena
 
ubabe wa mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.

Mwingine aliomba ndogo na huo ndiyo ukawa mwisho wa mahusiano.

Ubinafsi wa yule mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.
Ukiona mwanaume anakuomba ndogo ujue hakupendi 100%. Bora nibaki single milele kuliko kuoa mwanamke anayetoa ndogo

1 Wakorintho 6
...Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
 
Niliwahi kuñywa pombe nikapaaliwa na nikatapika kabisa nikasema uhusiano wangu na pombe ndo umeisha hapo hapo kwanza hazitonifikisha mbali










Ila baadae kidogo nilipasha kiporo na mpenz pombe tukarudiana kwa kasi ya 4G kasi ya upepo wa kisulisuli
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukiona mwanaume anakuomba ndogo ujue hakupendi 100%. Bora nibaki single milele kuliko kuoa mwanamke anayetoa ndogo

Wakorintho 6
...Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
Biblia imetumia maneno makali.
 
Nikiwa shule ya msingi shirimatunda darasa la sita nilimshuhudia baba wa classmate wangu akipigwa na mkewe kipigo kama chote mpaka mama akatosheka. Mwaka huohuo nikamshuhudia mama family friend wetu akimtukana tusi zito mumewe kisa hana kazi. Basi kukawa na matukio mengi ya aina hiyo ya udhalilishaji kwa wababa ninaowafahamu.
Basi nikaamua kumuomba Mungu mke mwema nikampa na vigezo vyangu kama ifuatafyo
1)Awe yatima 2)mcha Mungu, 3)mweupe 4) atoke ktk familia masikini au isiyozidi yetu uwezo. Haya yalikuwa maombi yangu tangu shule ya msingi sekondary na mpaka umuri wa kuoa.
Nikampata mrembo umuri ulipokuwa sahihi tukapendana mno ila kigezo namba 4 kilikataa, tukaachana bila purukushani yoyote. Ameolewa na ana watoto watatu hadi leo tunawasiliana hatuna bifu, huwa ananiuliza nini kilitokea sijawahi kumwambia maana nadhiri ya mtu ni siri yake.
Nilikuja kupata mke wa vigezo vyote ila kigezo namba 1 kilikamilika tukiwa wachumba kwa mchumba wangu kufiwa na babake, mama alishatangulia mbele ya haki kitambo. Roho za marehemu zipate rehema kwa Mungu zipumzike kwa amani amina.
 
Biblia imetumia maneno makali.
Siyo maneno makali kwa mtu ambaye siyo mtenda dhambi. Ila kwa mtenda dhambi ndiyo maneno makali yaani anaona kama ametukanwa. Umeambiwa "msidanganyike" maana yake hatatoka mtu wa kuwapa maneno mazuri ili ujione wewe siyo mtenda dhambi. Huo ndiyo kweli.
Sasa hivi mwanamke akiambiwa ni mdangaji anaona kawaida kumbe udangaji ni sawa na ukahaba. Ukumbuke Biblia takatifu haipo kwa ajili ya kumuonea aibu mtenda dhambi
 
Un
Kwa mimi nimeshawahi kukatisha safari baada ya kuona hili gari hili sitoboi nalo Kigoma,safari lazima iishie njiani tu maana sio kwa ma mushkeli haya.

Nilipata mpenzi huko nyuma tukapendana vizuri tu,maisha yakawa yanaendelea Si unajua tena mnapokua wapenzi lazima kila mtu ajue ratiba za mwenzake hata kama hatupo pamoja ila akiulizwa sasa hivi CONTROLA yuko wapi anajua cha kujibu kadhalika na kwangu.

Jumapili ni siku ya ibada yeye yupo kwao na mimi kwangu kila ikifika jpli mimi naenda zangu kanisani nikirudi namcheki mwenzangu namuuliza vipi za ibadani,ananijibu kua hakwenda,ukimuuliza kwanini anakwambia alikosa nguo, basi unauchuna.

ikifika jpli ijayo hivyo hivyo haendi sababu yake ni nguo/uchovu/kuumwa aseee nilimwambiaga ukweli mkavu kabisa ila bado tabia ikawa ile ile,Nguo za kutoka mitoko anazo kama 100 NA USHEEE ila za kanisani hana,ikikaribia jpili nguo zote Znachafuka.

Yule dada nilimpiga chini maana nilijihisi na date na PEPO maana hata tukiwa pamoja ukimwambia Ombea chakula "hataki" ukimlazimisha ataishia kuanza kula bila kuomba,nikaona isiwe kesi Nikaachia nafasi wengine.

Another one

alikua ni mpenzi wangu tulipendana haswaaa,siku 1 nilikua zangu nimekaaa nacheki Tv nikamuuliza "hivi una salio kwenye simu yako nataka kumtumia mama" akaniambia simu haina hata salio kuna 5000 tu",nikamwambia hiyo hiyo mtumie mama kwa vocha itamtosha sana akanijibu asee unawezaje mtumia mama sh.5000 ya vocha mwanaume mzima?

nikamuuliza swali "eti umeniulizaje??" akarudia swali lake "unamtumiaje mama 5000 ya vocha mwanaume mzima?" nikamwambia huo ndio uwezo wangu kuliko nisimpe hiyo 5000 akae bila vocha si bora nimtumie hiyo najua atajiunga vifurush kidogo kidogo na hatoitumia yote,ila yule mwanamke alinikatalia katu katu..

Akaniambia wewe mtumie mama hata 10,000 kidogo ita leta maana,nikamsisitiza siwezi tuma zaidi,akasema basi mwache akae hivyo hivyo au kakope hata kwa mtu umtumie,aseee tukiacha masihara yule dada nilimwambia live pale pale "naomba uondoke kwako niache kidogo" kweli akaondokaa

sikumtafuta tena na ndio ukawa mwisho wangu na yeye,ki ufupi nina list ya magari kadhaa niliyositisha nayo safari kutokana nakuona huko mbeleni hatutokuja kuwezana kabisaaa,so nikaamua tu kujiongeza.

SweetieLee Ulishawahi anzisha thread fulan hivi ya kumkinai "crushiee" wako sasa ile situation ebu fanya hakua just a crushie ila mliendelea hadi mkawa wapenzi then baada ya wiki mbili au mwezi unamkinai au inatokea tu kitu anakufanyia "kinakuchefua kabisaaa"....

Kuna dada nilimuuliza hili swali akaniambia yeye pia kashawahi muacha mtu,kisa ilikua kampenda jamaa vizuri jamaa alikua mtu mstarabu kupita maelezo ila hakuamini siku wanafanya mapenz jamaa akawa anasisitiza anataka TIGO asee yule dada akaniambia CONTROLA nilimuangalia yule kaka juu mpk chini kisha nikainuka nikavaa nguo nikasepa,na ndio ikaawa mwisho wa mazoea na yule mkaka.

Haya na wewe tuambie ilikuaje ukamuacha ukasitisha safari

Note : sababu isiwe UGOMVI au mkwaruzano wa aina yeyote ile.
Sikia kwenye swala LA MTU kusali inategemea na malezi aliyopitia sasa ww ndio unatakiwa umfundishe jinsi ya kusali na kusoma neno.
 
Siyo maneno makali kwa mtu ambaye siyo mtenda dhambi. Ila kwa mtenda dhambi ndiyo maneno makali yaani anaona kama ametukanwa. Umeambiwa "msidanganyike" maana yake hatatoka mtu wa kuwapa maneno mazuri ili ujione wewe siyo mtenda dhambi. Huo ndiyo kweli.
Sasa hivi mwanamke akiambiwa ni mdangaji anaona kawaida kumbe udangaji ni sawa na ukahaba. Ukumbuke Biblia takatifu haipo kwa ajili ya kumuonea aibu mtenda dhambi
Nilimaanisha maneno makali Kama "wafurahi" na "walawiti".
 
Siyo maneno makali kwa mtu ambaye siyo mtenda dhambi. Ila kwa mtenda dhambi ndiyo maneno makali yaani anaona kama ametukanwa. Umeambiwa "msidanganyike" maana yake hatatoka mtu wa kuwapa maneno mazuri ili ujione wewe siyo mtenda dhambi. Huo ndiyo kweli.
Sasa hivi mwanamke akiambiwa ni mdangaji anaona kawaida kumbe udangaji ni sawa na ukahaba. Ukumbuke Biblia takatifu haipo kwa ajili ya kumuonea aibu mtenda dhambi
Wewe huwa hautendi dhambi ?
 
Un

Sikia kwenye swala LA MTU kusali inategemea na malezi aliyopitia sasa ww ndio unatakiwa umfundishe jinsi ya kusali na kusoma neno.
Mke au mume mwema anatoka kwa Bwana. Mungu gani anayempa mwanamke au mwanaume mume au mke asiyejua kusali? Kumuabudu Mungu katika kweli ndiyo msingi imara wa ndoa kwasababu kila kitu mnamtanguliza Mungu na wote mnakuwa na hofu ya kutenda dhambi.
 
Ngoja nitoe story tofauti kidogo. Nilishawahi kuwa na manzi mmoja hivi mdogo mdogo k wa umri na sio umbo. Beautiful kweli kweli, yani Cleopatra akasome.

Shida alikuwa anapenda ngono huyo, yaani she can't abstain for two weeks. Mnaweza fululiza wiki nzima mnagegedana tu. Sema show yake ilikuwa si mchezo, she was a naturaaal in the game.

Ikabidi nimkeep kwa matumizi ya kitandani tu, na nikamuonyesha kabisa kwamba she can't be my wife.

Hadi leo nakumbushia mara moja moja , game za level ile ni very rare, unaweza ukafa hujapata. Mabaharia nadhani mtakuwa mmeelewa.
 
Mke au mume mwema anatoka kwa Bwana. Mungu ngani anayempa mwanamke au mwanaume mume au mke asiyejua kusali? Kumuabudu Mungu katika kweli ndiyo msingi imara wa ndoa kwasababu kila kitu mnamtanguliza Mungu na wote mnakuwa na hofu ya kutenda dhambi.
Ila yesu alikuja kwa ajili ya watenda dhambi,so ww unatakiwa umbadilishe mkeo ajue kuishi katika kumpendeza Mungu
 
Back
Top Bottom