Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Yani anajitapa kuwa atajibu majibu ya kanga mbele ya baharia...Kuna ule msemo wa "kenge hasikii mpaka sikio lake litapotoka damu" nitaukamilisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unitoe sikio damu nakuangalia tu!!!
 
Mtu anakuomba 30,000. Unamwambia nina 10,000 ananuna. Utafikiri naye ana hela kumbe hata 5,000 kwenye mfuko hana. Mwanamke mpiga viziga hafai kwa ndoa aise maana siku ukiwa tajiri lazima akuue ili amiliki pesa na siku ukiyumba kidogo kiuchumi, atabebwa na mwingine. Wanawake wanaopinga vizinga wanamapenzi ya kuigiza. Akikuomba pesa ukamnyima, tayari amenuna na kwenye mawasiliano huwa wabovu sana. Huwa hawana maneno matamu ya mapenzi pale ambapo hajakuomba hela ila siku akiomba hela. Ataanza baby sijui honey, ataandika maneno matamu matamu ujue anaomba hela. Kama demu wako huwa hakutumii sms za mapenzi wala kukupigia simu. Siku ukiona sms ya maneno matamu matamu, ujue unapigwa kizinga.
Inshort, mwanamke wa hivyo anakutumia for his benefits. Mapenzi yanakuwa kama kilainishi tu cha kukufanya usiwe na doubt maana utatoa ukijua unamtolea mpenzi wako.

Meanwhile, yeye anaona we ni ng'ombe tu anakukamuaa maziwa, anakupigia hesabu za hela umtimizie matumizi yake ila kwenye mapenzi ni 0!
 
Ili kielee lazima kiundwe sasa unataka mwanamke apendeze hali ya kua humpendezeshi jamani, na si lazima kumpa hela waweza mshauri mavazi ya kuvaa na nguo zinazompendeza kwamba mamy ukivaa aina hii ya nguo unapendeza ama ukisuka hivi utapendeza ndio kuunda kwenyewe huko
Hio kazi naifanya sana ndio maana ntaua nikikuta boya anachepuka
 
Raha ya mapenzi kabla ya kutoka hata kama hamuishi pamoja mkijua mnaenda mahali mnapigiana Simu nguo gani mnavaa ikiwezekana hata tupicha Sasa kidume hata bei ya chupi hukujui ya bae wako achilia mbali bei ya nguo za mtoko akija kishamba unatoka puvu inasikitisha Sana.
Huyo jamaa ni ndezi🤣🤣🤣! Mie lazma niulizwe, inshort ndio Q Boy msafi wake.
 
Raha ya mapenzi kabla ya kutoka hata kama hamuishi pamoja mkijua mnaenda mahali mnapigiana Simu nguo gani mnavaa ikiwezekana hata tupicha Sasa kidume hata bei ya chupi hujui ya bae wako achilia mbali bei ya nguo za mtoko akija kishamba unatoka puvu inasikitisha Sana.
Kwa kweli yani mtu anatoka povu kwa juhudi zangu ye amechangia kwenye muonekano wangu?? Yani unakuta linanuna kabisa hali ya kua hata mawazo tu ya nini nivae hajachangia
 
Hehehe duh me kuna mwana nlimwacha yaan alikua vzuri tu lkn alikua akisema kitu hatekelezi swala dogo tu LA kunyoa Nywele na ndevu na kubet vlikua shida kuoga ndo kabisaaa...nkaona isiwe shida nkamwacha for good....

Kuna mwamba mwingine yeye haoni shida kutoa hewa ya ukaa (kujamba) na shuzi Lina nuka kwelikweli mwamba mchafu kinoma kuoga ishu mswaki ishu geto hapafai...vuzi LA ela yote ukimwambia ndo kwanzaaa anakuona kama katuni nkaona isiwe tabu nkamwacha for good.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulikua unakutana nao wapi hawa mabaharia?
 
kwanza hawatulishi wao

wakija nyumbani ukiwambia wapike wanapika Wali na ma "fast food"

halaafu eti goli 5 weeeee nani kasema....
Dah nimekaa bongo siku 2 sijala kitu cha maana, atokee mtu aseme anataka goli 5 na hili joto *****
 
Back
Top Bottom