Umeshawahi kujamba hadharani?

Umeshawahi kujamba hadharani?

joanah ukimaliza kule uje na hapa... mi nimeishia hapo alipoachia kijambo lakini hakukisikia kwakuwa alikuwa kavaa earphone...
 
joanah ukimaliza kule uje na hapa... mi nimeishia hapo alipoachia kijambo lakini hakukisikia kwakuwa alikuwa kavaa earphone...
Hahahhah
Ile miwani nayotafuta bado sijaipata ujue ...itabidi tuongeze wasomaji wasaidizi manake izi essay hizi
 
Mi nilishawahi jamba nikitoa morning speech daraclasi, uzuri haikusikika na watu wengi zaidi ya wanafunzi waliokaa viti vya mbele tu
 
Naomba msihangaike kuwakwaza watu kwa harufu ya ushuzi au kwenda KUNUNUA vidonge ambavyo ukijamba hakuna harufu mbaya kwa watu.

Kula tembe kama NNE za vitunguu swaumu bila kutafuta.we meza nzimanzima afu vikikolea tumboni ukianza ama ukiwa unajamba utakuwa unaitoa hiyo harufu ya kitunguu swaumu.

Jaribu kukila afu ukiwa katikati ya kundi LA watu ukijamba tu watakuwa wanaulizana ni nani anakula kitunguu swaumu
 
Kuna aina kadhaa za vijambo
1-yu-su-fuu-hiki ni kijambo cha kimyakimya mjambaji huhisi upepo mwanana kumtoka na hupata raha ya tumbo.Wengine huhisi harufu tu bila kumjua/kumjua mjambaji
2-haba-riii-hiki huwa na mlio mdogo sana ambao unaweza sikikika kwa mjambaji na walio karibu yake tu. Huwa kina harufu ila si kama ile aina ya kwanza aidha inaweza kumtia aibu kidogo mjambaji.
3-duh-pfuu-Hii huwa na harufu kali na humtoka mjambaji bila kutegemea ni kiashiria kuwa tumboni kuna gesi inahitaji kuondolewa
4-bhvuuuu-hii huwa na sauti kubwa na inaweza kumfadhaisha mjambaji ila haina harufu kali.Humjulisha mjambaji hali si shwari tumboni ajiandae kutafuta choo kilipo kwani anaweza kuwa taabani muda wowote
Chanzo ni mimi mwenyewe
 
Hakuna marafiki wa kweli kama matako,huvaa chupi moja,ukikaa unakalia yote kwa pamoja.BASI JAMBA KIDOGO KUYAFURAHISHA MATAKO YAKO
 
Back
Top Bottom