Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Hahahaaaa
Mkuu umenifurahisha sana.
 
Hahahaaaa
Mkuu umenifurahisha sana.
Ukiwa mdogo unawez mkufuru mungu kwann kawek kifo ila ukikua unajua nin maan ya kifo.
Somtaim shida zinazidi mpak unataman ushuke ii Dunia upande ata sayar zingine
 
Ukiwa mdogo unawez mkufuru mungu kwann kawek kifo ila ukikua unajua nin maan ya kifo.
Somtaim shida zinazidi mpak unataman ushuke ii Dunia upande ata sayar zingine
Hahahaaaa ni kweli mkuu.
 
Ila wwe jamaa nimekuelewa sna ila ssa idea kama hizi unaweza ukaja ukatafsiri vitu vingine ukawa unajiukumu mwenyewe au wengine ila 9/10 mwache mungu aitwe mungu
 
Hiyo ni Yoga meditation steps.
Naona wameshamchanganya huyu. Nimetembelea mataifa mengi yanayofanya hiyo kitu naona wao wanafanya na Budha akiwa mbele.
Hata hapa hotelini Champ De lamar, Port Luis, Mauritis naona sanamu ya Budha.
Kwa hiyo wewe ni Nani?
 
Kwa hiyo hapa katika kumtendea mwenzako jambo usilolipenda, ndo maana kuna ile sheria ya jambo kuja kukurudia, bila kujali ulitenda uzuri ama uovu........? na je inaweza kuwa(karma) ndo njia sahihi ya kutufunza kwa kuwa ipo katika maisha ya kifizikia na maisha yasiyoshikika????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…