Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Swali hili ni la miaka mingi, na watu wengi, ila jibu bado, na yawezekana lisipatikane. Angalia jamaa wa enzi hizo walivyolikabili swali hili BBC Radio 4 - A History of Ideas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiitwa nifah mnakuja zaidi ya mmoja iweje sasa wewe uwe nifah.
Mimi niko tofauti, unique...naamini hakuna wa kufanana nami.
Hata wewe pia, labda kama ukiwa hujielewi.
Swali hili ni la miaka mingi, na watu wengi, ila jibu bado, na yawezekana lisipatikane. Angalia jamaa wa enzi hizo walivyolikabili swali hili BBC Radio 4 - A History of Ideas
mimi ni mimi
...Wewe sio maelezo unayotumia kujielezea kuhusu wewe...
Hili swali nilikua najiuliza sana kipindi nikiwa mdogo.Hasa nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele yoyote.Hadi nikawa najikuta najishangaa mwenyewe!
Lakini siku hizi kila nikijaribu nashindwa sijui kwanini!
Hiyo ni Yoga meditation steps.
Naona wameshamchanganya huyu. Nimetembelea mataifa mengi yanayofanya hiyo kitu naona wao wanafanya na Budha akiwa mbele.
Hata hapa hotelini Champ De lamar, Port Luis, Mauritis naona sanamu ya Budha.
Wewe sio maelezo mengi unayotumia kujieleza kwa maana kuwa wengi wanajielezea na kujitambua kwa kazi zao, muonekano wao, hali zao, Vitambulisho vyao, jinsi media zanavyowaambia wao ni nani n.k hivi vyote sio sahihi kwani tunakufa na kuviacha. Utambulisho huu una muda na muda wake ni katika maisha yako tu ya hapa duniani, hivyo inahimiza kutafuta utambulisho wako wa kudumu ambao hauna mwisho.Sasa mkubwa, ntawezaje kukuelezea mimi ni nani wakati hautaki maelezo?
[/CENTER]
Ni kweli wewe kama ni wewe, lakini tambua kuwa kuna Oneness katika ulimwengu. Wewe ni mimi na mimi ni wewe lakini at the same time I Am That I am. Unapomkosea mwanadamu mwenzio unakuwa hujamkosea yeye bali umejikosea wewe kwani yeye ni sehemu yako wewe. Unavyoona kila mtu yuko kivyake kama wewe ni Illusion/Uongo/Mtihani. Ndio maana tunafundishwa mtendee mwenzio ambacho unapenda utendewe, kwa sababu unajitendea wewe. Unaposaidia mtu unajisaidia wewe, unapomuumiza mtu unajiumiza wewe bila kujua. Utakuja kujua
baada ya maisha yako umuhimu wake lakini kwa sasa ni kama mtihani kwako.
Hivyo inakupasa kuepuka ubinafsi.
Look deeply within you, Ask your self "who am I?" Then every identity that come to the mind, observe it and criticize it if it have limitation of time and space. The whole concept is to eliminate all the negative identity we have learnt from the society, parents (who didn't spend time to find the truth), and to find our true identity that last and not taken by wordily end/death.The whole message ambayo ndio key ya hizi conversation sijaelewa where should I stand to identify my self