LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
nikiwa nimetokea zangu kigamboni nikafika ferry kutafuta magari ya gongo la mboto, sikuwa mzoefu sana yanaoopatikana,
ikabidi nisogee kwenye daladala moja hivi iliyopaki ilikuwa ni mida ya mchana, ndani kulikuwa na dereva na kondakta wake,
kufika nakauliza, eti gari za gongola mboto zinapaki wapi,? wote wakawa wananitazama tu,
nikarudia tena kuuliza kondakta akataka kunijibu, dereva akamkatiza, kwani ameona watu hapa, angeona si angesalimia,
nikawa mnyonge muda huohuo naona gari za gongo la mboto kumbe zenyewe hazikai zikifika tu ni mwendo wa kugombania na kugeuka,
toka siku hiyo ikawa mwanzo na mwisho kutokusalimia watu njiani,
ikabidi nisogee kwenye daladala moja hivi iliyopaki ilikuwa ni mida ya mchana, ndani kulikuwa na dereva na kondakta wake,
kufika nakauliza, eti gari za gongola mboto zinapaki wapi,? wote wakawa wananitazama tu,
nikarudia tena kuuliza kondakta akataka kunijibu, dereva akamkatiza, kwani ameona watu hapa, angeona si angesalimia,
nikawa mnyonge muda huohuo naona gari za gongo la mboto kumbe zenyewe hazikai zikifika tu ni mwendo wa kugombania na kugeuka,
toka siku hiyo ikawa mwanzo na mwisho kutokusalimia watu njiani,