Umeshawahi kumla shemeji yako?

Umeshawahi kumla shemeji yako?

"Hainaga ushemeji" kwa sauti ya Man Fongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie walokole hebu ondoken kwenye huu kaanzisheni uzi wenu wa mapambio kule kwenye jukaa la dini mnajifanya wema sana mmekazana dhambi dhamb huu uzi sio wa dhambi ni wakula mashemeji... acheni watu washushe nondo hapa

Ova
 
Ukipiga kimya kisirisiri ukawa unatubu, kuliko hii sifa ya kijinga,tumewala mahouse girl. Naogopa yatanirudia lkn Mungu atawasamehe yanipate mwenyewe
 
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Nilikuwa na shemeji yangu vizuri tu tena jana .
Na saivi na chart na nyie niko na mme wangu kitandani hapa nimemlalia kifuani maisha ndio hayo kifua hiki ninachokilalia kimelaliwa juzi na mke wa rafiki yake .
Mchepuko wake na wengine tu.

Mimi niko kwenye list ya michepuko ya mme wa mke wa rafiki yake yaani tunazungushana ndio life .

So ndio maisha kamili
 
Umefanya dhambi mbaya, lakini kitendo chako cha kutangaza udhalimu uliofanya ni kibaya zaidi.
Umejibebesha majukumu ya shetani kuhimiza wengine waige vitendo vyako
 
Daah we ndo baharia sasa wengine cha mtoto
Hatari mkuu,,,kuna siku aliniuliza hivi kuku na yai unapenda kipi?nikamuuliza napenda kipi au kipi kitamu?akasema kipi kitamu,,,nikamjibu kuku ndy mtamu kuliko mayai,,,,duu ,,hyo siku nilikula kuku hadi manyoya..hatari Mkwe wngu,,,,mabaharia wanasema Mkwe ,,,mkwee...
 
Hatari mkuu,,,kuna siku aliniuliza hivi kuku na yai unapenda kipi?nikamuuliza napenda kipi au kipi kitamu?akasema kipi kitamu,,,nikamjibu kuku ndy mtamu kuliko mayai,,,,duu ,,hyo siku nilikula kuku hadi manyoya..hatari Mkwe wngu,,,,mabaharia wanasema Mkwe ,,,mkwee...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah
 
Back
Top Bottom