Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nilikuwa na mmezea mate Kuna siku tulibaki ndani wawili tu kwa siku mbili,akajipodoa tukawa tunaangalia tv,nilitamani nikapiga moyo konde,
Ulifanya vyema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa na mmezea mate Kuna siku tulibaki ndani wawili tu kwa siku mbili,akajipodoa tukawa tunaangalia tv,nilitamani nikapiga moyo konde,
hakuna tofauti,
Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Dah [emoji119]Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
😂😂🤣😂Mwaka huu mtatuambia kila kitu.
Hadi kesho,,,nikihitaji situmii nguvu nyingi...Utamu wote huo ukamla mara moja tu au ulichonga mzinga? Maana muonja asali....[emoji12]
Mi.I Nina HP vile vidogo vya gold inakaa na charge Massa 7Wala hajakudanganya, mimi nina laptop toshiba satellite A20 ya mwaka 2000 inakaa na charge 2 hours na ikiwa on standby mode inakaa na charge 6 days, kwanini yeye awe amedanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kha!kha!kha.Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Nilikuwa na shemeji yangu vizuri tu tena jana .Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Daah we ndo baharia sasa wengine cha mtotoMkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Hatari mkuu,,,kuna siku aliniuliza hivi kuku na yai unapenda kipi?nikamuuliza napenda kipi au kipi kitamu?akasema kipi kitamu,,,nikamjibu kuku ndy mtamu kuliko mayai,,,,duu ,,hyo siku nilikula kuku hadi manyoya..hatari Mkwe wngu,,,,mabaharia wanasema Mkwe ,,,mkwee...Daah we ndo baharia sasa wengine cha mtoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaahHatari mkuu,,,kuna siku aliniuliza hivi kuku na yai unapenda kipi?nikamuuliza napenda kipi au kipi kitamu?akasema kipi kitamu,,,nikamjibu kuku ndy mtamu kuliko mayai,,,,duu ,,hyo siku nilikula kuku hadi manyoya..hatari Mkwe wngu,,,,mabaharia wanasema Mkwe ,,,mkwee...