Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Ni mara nyingi nimependwa na wanawake ila sijui kwanini sipendeki nachukuliaga tu easy.Siku moja nipo kona bar nimebeba mlupo nahisi ni denti wa ustawi wa jamii bamaga tulikuwa gizani pale nje kwenye eneo la wazi kando ya barabara alikuja tu nilipo akaanza kunisaundisha nikampe vitu kwa malipo tumeenda zetu gesti tumewasha taa demu ananishangaa.akasema hee we kaka m..... wanawake wanakutongozaga?
 
hii ni kawaida kabsa ila mm ipo tofaut kimtindo.

iko hivi, mimi ni wale wazee wa i dont care kama manzi amenielewa halafu sina mzuka nae hata afanye nn siwez kuwa nae ,kiufupi nishakataa kujiforce kabsa

mademu ambao nimepitia ni wale wa mazoea kidogo unachapa wanapita kushoto (wale wa show show) sikuwah kufikiria kama ntakuja kupata mwanamke ninaempenda sana.


sasa bwana kama wanavyosema kila kubwa lina kubwa lake,nilitokea kumpenda demu mmko ivi aiseeee ule upendo wa moyoni .kwel kwel.ndo nikajuaga kupenda kupo

siku namtongoza alichomoa halafu hakupepesa macho ,hata ile kunionea aibu hakuna,

mhuni nilisizi na sikutegemea kama angenichomolea ukizingatia tulikuw na mazoea ya kuitana baby, hata text alianza na mume wangu, siku moja ilibidi nimuulize why tunaitana hivi lakn nikikuomba tuwe rasmi unanijibu una mhuni na unampenda akawa anajibu "ni bas tuuu najikuta"

oya huyu manz nilimwelewa vby mno.mno,mno nilifukuzia kama mwaka na nusu halafu hata mawasiliano yalikuw hafifu ukimchek anajibu mkato unajua zile.


ilibid tu nimpotezee kiaina lakn kabla ya yote nilifanya ujanja ujanja ,uongouongo ,ubabaishaji mwing nikafanikiwa kula kitumbua chake aiseeeeeee niliishiwa pozi kabsa huwez amini manz hakuw mtamu wala nn,na nikiri waz huyo ndo manz pekee ambaye show ilikuw mbovu japo kwa upande wake niliona akiinjoi sana

Maisha yalivyokuw ya ajabu baada ya kulamba asali manzi akakolea sasa yaan mpira ukageuka,kipind nina hisia nae yy hata hafikiriii ,hisia zimekata yy ndo amejaa mazima


mwez wa 4 huu hachoki namwambia nishamove on lakn haelew simu nying sana,namhakikishia sina tyme nae lakn still anakomaa,saiv amebadilisha upepo ni mwendo wa zawad utashangaa leo jeans kesho kiatu (mara nying ni vizawadi vdg vdgo)

umalaya unaanzaga hivi hivi.
 
Ki ukweli mke ninaye ishi naye sijawahi kumpenda , sababu zinazo fanya niwe naye ni -
  • Anaheshima
  • Ana care
  • Aliwahi kujitoa kumuongezea damu bibi yangu na kumuhudumia mpaka kumuogesha kipindi bibi anaumwa
  • Kuna kipindi alifuma sms nikiwasilana na mwanamke mwingine,ALIKUNYWA SUMU ila tulimuwahi.
  • Wazazi na ndugu huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke.
  • Nimezaa naye mtoto.
*Tatizo kubwa ni Mimi Sina upendo naye .
 
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.

Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.

Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Wanaume hatujuaji kukataa
Nilitongozwa na mdada kiukweli hadi Leo nipo nae kwenye mahusiano lakini simpend nahisi nikimshana kuwa simpend nitamuumiza.
All in all life is not fair
 
Mkuu kwa dunia ya leo kama tu kuna watu wanafanya ngono, na hawaitani wapenzi wanaitana friends with benefit sijui kulana kimasihara, sembuse ambao hawafanyi kabisa hao si kama kaka na dada tu
Friends with benefits inakuawaje hii huwa sipati picha hii ikoje? Ni mauzo au kutoka kula bata na kula shoo then Kila mtu na mpenzi wake au ikoje hii?
 
wanaume nyie

hii inamtokea mke mwenzangu yan mwanamke wa shemeji yangu, amebeba mimba mwanaume anasema itolewe, mimi nikamshinikiza na vifungu kibao vya dini kuua dam isio nahatia ni dhambi akalea mimba, mwanaume akikuta king'amuzi hakijalipiwa anawaka kwa nn, mbaya zaidi mwanaume hajawah kumnunulia hata chupi kama zawadi hajui hata anavaasize gani, mtoto amefia tumboni anamdanganya yupo mkoani kumbe yuko mkoa huohuo siku aliokuja kunitibua ni hua namwambiaga ukweli huyo mwanamke kwamba hapo sioni mapenzi zinduka wewe akishakojozwa na bwana ake anamwambia yote nikaona hu usenge utakuja kunifitinisha na ukoo wa mama mkwe nikamkatia line mazima
Uko vizuri
 
Ilishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal.

Lengo langu niwafuate niombe no ya yule pisi ,ili kutomfanya yule mwingne asijiskie vibaya nikajifanya kuomba no zao wote, mbaya zaidi asiye kwenye lengo ndio akajitia kiherehere cha kunipa no ,yule pisi yeye kimya tu , nikaichukua kishingo upande ,,nikajua kwa sababu ni marafiki naweza pata ukaribu na huyo, ila lengo nisijempoteza yule pisi kupitia mwenzake.

Kufupisha tu ni kwamba yule dada wa kimasai aliniganda hatari zaidi ya mwaka , ili kutomfanya asijisikiie vibaya sikudhubutu kumwambia ukweli , nikawa nawasiliana nae kishingo upande ,alipo kuja kuharibu zaidi alinitambulisha kwa yule pisi kama mimi ni mtu wake, na ile pisi ikawa inaniita shem.

Hali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .

Kilichonifanya nikaingia mitini kabisa ni pale binti alipo fikia hatua ya kutaka kunitunuku zawadi ya bikra yake na akaniambia hiyo kwao ni zawadi kubwa kabisa ya kimila .

MpKa Leo sikuwahi kukutana na pisi kali kama yule rafiki wabinti wa kimasai , nilikuja kupata fununu karudi kwao Rwanda baada ya kumaliza masomo yao pale KCMC .
Ulikosaje mbinu mzee? Ilipaswa uondoke na wote wawili
 
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.

Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.

Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Nishawahi kukutana na Jambo kama hilo.

Mimi shida yangu ilikuwa nipige nikimbie asee Alianza kuniganda kinoma.

Lakini ujue nini wakuu UTOTO RAHA SANA
 
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.

Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.

Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
niliwahi kupendwa na schoolmate wangu, wakati mimi sina hata mpango naye kichwani kabisa kabisa. alihangaika mno, nilikutana naye miaka kama 5 baada ya kuachana shule, sote tumeshamaliza vyuo, akajua sijaoa na alikuwa ananifahamu mno tangu tukiwa shule, alikuwa mtu wa karibu mno shule, anazijua tabia zangu. nilijifunza wanawake akikupenda anaweza kutumia garama kubwa asile hata chakula ila akununulie vitu wewe, nikikutana naye alikuwa anatia huruma, na alilia mno aliposikia naoa.

ajabu yake, mke wangu niliye naye alikuwa ananipenda zaidi kuliko hata huyo classmate, na mimi nilimpenda na naendelea kumpenda. nawashauri vijana, ukitaka kuoa, oa mwanamke anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda, huyo atakuvumilia. all in all, hawa wanapatikana kwa Mungu, ukimwomba Mungu atakupa yule atakayekuvumilia na kukupenda kwa moyo hata kwenye mapungufu na madhaifu wa mwili n.k. mwanamke asipokupenda hata ukimwoa anaweza kutembea hata na houseboy wako, na anaweza kukuletea vimbwanga ukafa hata kabla ya siku zako.
 
Ndio hivyo mnakuwa na open relationship yani mnakutana kama kawaida ila kila mtu na wake
Most likely that aidha mwanaume ana mtu wake na wewe ni best wa demu wake, au vice versa. Kwa uzoefu wako hio inatokana na mazingira gani hasa kipi kinawainganisha?
 
niliwahi kupendwa na schoolmate wangu, wakati mimi sina hata mpango naye kichwani kabisa kabisa. alihangaika mno, nilikutana naye miaka kama 5 baada ya kuachana shule, sote tumeshamaliza vyuo, akajua sijaoa na alikuwa ananifahamu mno tangu tukiwa shule, alikuwa mtu wa karibu mno shule, anazijua tabia zangu. nilijifunza wanawake akikupenda anaweza kutumia garama kubwa asile hata chakula ila akununulie vitu wewe, nikikutana naye alikuwa anatia huruma, na alilia mno aliposikia naoa.

ajabu yake, mke wangu niliye naye alikuwa ananipenda zaidi kuliko hata huyo classmate, na mimi nilimpenda na naendelea kumpenda. nawashauri vijana, ukitaka kuoa, oa mwanamke anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda, huyo atakuvumilia. all in all, hawa wanapatikana kwa Mungu, ukimwomba Mungu atakupa yule atakayekuvumilia na kukupenda kwa moyo hata kwenye mapungufu na madhaifu wa mwili n.k. mwanamke asipokupenda hata ukimwoa anaweza kutembea hata na houseboy wako, na anaweza kukuletea vimbwanga ukafa hata kabla ya siku zako.
Sahihi
 
Back
Top Bottom