Mmmh...ya mungu mengi Ila sioni kama atanishinda!!kuforce
Mtu anayekupenda hawezi kukudharau hata siku hii, moja.Eti kuna kibonge mmoja, mweusi, ananipenda eeh.. amenidharau sana.
Wanaume hatujuaji kukataaKwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Friends with benefits inakuawaje hii huwa sipati picha hii ikoje? Ni mauzo au kutoka kula bata na kula shoo then Kila mtu na mpenzi wake au ikoje hii?Mkuu kwa dunia ya leo kama tu kuna watu wanafanya ngono, na hawaitani wapenzi wanaitana friends with benefit sijui kulana kimasihara, sembuse ambao hawafanyi kabisa hao si kama kaka na dada tu
Uko vizuriwanaume nyie
hii inamtokea mke mwenzangu yan mwanamke wa shemeji yangu, amebeba mimba mwanaume anasema itolewe, mimi nikamshinikiza na vifungu kibao vya dini kuua dam isio nahatia ni dhambi akalea mimba, mwanaume akikuta king'amuzi hakijalipiwa anawaka kwa nn, mbaya zaidi mwanaume hajawah kumnunulia hata chupi kama zawadi hajui hata anavaasize gani, mtoto amefia tumboni anamdanganya yupo mkoani kumbe yuko mkoa huohuo siku aliokuja kunitibua ni hua namwambiaga ukweli huyo mwanamke kwamba hapo sioni mapenzi zinduka wewe akishakojozwa na bwana ake anamwambia yote nikaona hu usenge utakuja kunifitinisha na ukoo wa mama mkwe nikamkatia line mazima
Ulikosaje mbinu mzee? Ilipaswa uondoke na wote wawiliIlishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal.
Lengo langu niwafuate niombe no ya yule pisi ,ili kutomfanya yule mwingne asijiskie vibaya nikajifanya kuomba no zao wote, mbaya zaidi asiye kwenye lengo ndio akajitia kiherehere cha kunipa no ,yule pisi yeye kimya tu , nikaichukua kishingo upande ,,nikajua kwa sababu ni marafiki naweza pata ukaribu na huyo, ila lengo nisijempoteza yule pisi kupitia mwenzake.
Kufupisha tu ni kwamba yule dada wa kimasai aliniganda hatari zaidi ya mwaka , ili kutomfanya asijisikiie vibaya sikudhubutu kumwambia ukweli , nikawa nawasiliana nae kishingo upande ,alipo kuja kuharibu zaidi alinitambulisha kwa yule pisi kama mimi ni mtu wake, na ile pisi ikawa inaniita shem.
Hali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .
Kilichonifanya nikaingia mitini kabisa ni pale binti alipo fikia hatua ya kutaka kunitunuku zawadi ya bikra yake na akaniambia hiyo kwao ni zawadi kubwa kabisa ya kimila .
MpKa Leo sikuwahi kukutana na pisi kali kama yule rafiki wabinti wa kimasai , nilikuja kupata fununu karudi kwao Rwanda baada ya kumaliza masomo yao pale KCMC .
Nishawahi kukutana na Jambo kama hilo.Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
niliwahi kupendwa na schoolmate wangu, wakati mimi sina hata mpango naye kichwani kabisa kabisa. alihangaika mno, nilikutana naye miaka kama 5 baada ya kuachana shule, sote tumeshamaliza vyuo, akajua sijaoa na alikuwa ananifahamu mno tangu tukiwa shule, alikuwa mtu wa karibu mno shule, anazijua tabia zangu. nilijifunza wanawake akikupenda anaweza kutumia garama kubwa asile hata chakula ila akununulie vitu wewe, nikikutana naye alikuwa anatia huruma, na alilia mno aliposikia naoa.Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Ndio hivyo mnakuwa na open relationship yani mnakutana kama kawaida ila kila mtu na wakeFriends with benefits inakuawaje hii huwa sipati picha hii ikoje? Ni mauzo au kutoka kula bata na kula shoo then Kila mtu na mpenzi wake au ikoje hii?
πππUlikosaje mbinu mzee? Ilipaswa uondoke na wote wawili
Most likely that aidha mwanaume ana mtu wake na wewe ni best wa demu wake, au vice versa. Kwa uzoefu wako hio inatokana na mazingira gani hasa kipi kinawainganisha?Ndio hivyo mnakuwa na open relationship yani mnakutana kama kawaida ila kila mtu na wake
Sahihiniliwahi kupendwa na schoolmate wangu, wakati mimi sina hata mpango naye kichwani kabisa kabisa. alihangaika mno, nilikutana naye miaka kama 5 baada ya kuachana shule, sote tumeshamaliza vyuo, akajua sijaoa na alikuwa ananifahamu mno tangu tukiwa shule, alikuwa mtu wa karibu mno shule, anazijua tabia zangu. nilijifunza wanawake akikupenda anaweza kutumia garama kubwa asile hata chakula ila akununulie vitu wewe, nikikutana naye alikuwa anatia huruma, na alilia mno aliposikia naoa.
ajabu yake, mke wangu niliye naye alikuwa ananipenda zaidi kuliko hata huyo classmate, na mimi nilimpenda na naendelea kumpenda. nawashauri vijana, ukitaka kuoa, oa mwanamke anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda, huyo atakuvumilia. all in all, hawa wanapatikana kwa Mungu, ukimwomba Mungu atakupa yule atakayekuvumilia na kukupenda kwa moyo hata kwenye mapungufu na madhaifu wa mwili n.k. mwanamke asipokupenda hata ukimwoa anaweza kutembea hata na houseboy wako, na anaweza kukuletea vimbwanga ukafa hata kabla ya siku zako.
Acha dhambi basi!!Ni mambo ya kawaida, unapendwa na mtu wewe huoni lolote(kimapenzi) kwake.