Tatizo una kuta anae kupenda nae haumtaki na unae mpenda nae hakutaki ,na yeye huyu unae mpenda kuna mahali hatakiwi tena ,apo ndipo tunaposhindwa kuimba wimbo mmoja.Mimi ndio maana sihangaiki kupenda mtoto wa mtu, yani wewe uko serious unampenda kumbe mwenzio anakuona lofa na fala tu, hakuna vitu sipendi kama kuchukuliwa poa na kufanywa mjinga
Hao ni wapenzi watazamaji ndugu mdau.Niliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
Hahaha kuhusu Nini tena 😁😁Jadda bwana..!
Kuna siku itabidi nikuhoji sana we binti.
Sasa hii itakua ni njaa iliyo changanyika na roho mbaya ndugu mdau .Mkuu ungechukua hao ng'ombe halafu unapotea
Kwa hiyo unataka kumaanisha pipi bado ipo kwenye ganda haijafunguliwaNiliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
Bestie🤣🤣👐Niliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
General life yani.Hahaha kuhusu Nini tena 😁😁
Kutokumpenda mtu siyo kosa, kosa ni kumdanganya kuwa unampenda halafu unakuja kumuacha, bora umuambie mapema msipotezeane mudaTatizo una kuta anae kupenda nae haumtaki na unae mpenda nae hakutaki ,na yeye huyu unae mpenda kuna mahali hatakiwi tena ,apo ndipo tunaposhindwa kuimba wimbo mmoja.
Kwaiyo wewe hujawahi kufanya ngono?Niliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
UpogoDah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣
Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
Hilo siwezi kusemaKwa hiyo unataka kumaanisha pipi bado ipo kwenye ganda haijafunguliwa
Ng'ombe mia hapo umepiga hatua za maisha kimtindo. Njaa ni mtu anaeiba kuku ambae hata akimuuza hela hatayopata haitoshi kula hata kwa siku 3Sasa hii itakua ni njaa iliyo changanyika na roho mbaya ndugu mdau .
Weka wazi tujue tunakusaidiajeHilo siwezi kusema
Mimi nikiuliza maswali yangu uyajibu bila kupepesa macho🤣Hilo siwezi kusema
Apana kwa kweli sikua na ujasiri wa kufanya hivyo .Ng'ombe mia hapo umepiga hatua za maisha kimtindo. Njaa ni mtu anaeiba kuku ambae hata akimuuza hela hatayopata haitoshi kula hata kwa siku 3
☺️☺️Si unaona mlivyo na roho za ajabu, hapo angekuwa mwanamke ndio kamshauri mwanamke mwenzie hivyo ungesema wanawake ni wabinafsi, kwa hali hii ndio mnalia eti wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya dhati kwakweli wasiwe nayo tu
Mwanamke akipenda anakuwa hatari sanaApana kwa kweli sikua na ujasiri wa kufanya hivyo .