donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu .. 😂😂Mngetuambia Kwasasa mko wapi ingependeza pia..all in all hongereni
mje mtufundishe mathKuna zawadi?
Kama hakufaulu hesabu je atakufundishajemje mtufundishe math
Mie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakoseaMie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu .. 😂😂
Na wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..🥵One ya makaratasi ina saidia nin!!! Kuna one ya maisha wanazo wakinga kibao awajui ata kusoma!!!!
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wanasomea wasicho kijua ndio maana havi work walivyo soma kwenye maisha yao 😂😂😂😂.. wa div 3 ya mwisho na wao hatuchekaniMie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
hata civicsKama hakufaulu hesabu je atakufundishaje
Nina One ya Olevel na Advance lakini kitaa nimezungusha.Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195