Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Huyo mtu ndo mwenye shida, huwezi ukawa na PhD halafu ukawa upo upo tuMie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtu ndo mwenye shida, huwezi ukawa na PhD halafu ukawa upo upo tuMie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Serious hana maisha kbsHuyo mtu ndo mwenye shida, huwezi ukawa na PhD halafu ukawa upo upo tu
Street smartness ndio kitu 'wapiga msuli' wanakikosa.Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka[emoji38][emoji38]!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia[emoji1787]!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Hapo hapo...na wasomi wana mahesabu meengi...khaa...wasiosoma wanajitosa unawaona wakija ibuka wako mbaliStreet smartness ndio kitu 'wapiga msuli' wanakikosa.
Wanyantuzu ni wasukuma waliosoma, huwezi fananisha na wakinga af wanaundugu bora hata wachaga.Na wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..🥵
Huwajui kumbe hata kuandika jina lake shidaWanyantuzu ni wasukuma waliosoma, huwezi fananisha na wakinga af wanaundugu bora hata wachaga.
Walifilisi shirika la SHIRECU enzi hizo.
HahahahahMie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Hata marekani,Ulaya,China,India wenye kumiliki makampuni makubwa duniani hawanaga AAA bali wana creativity power.Wanasomea wasicho kijua ndio maana havi work walivyo soma kwenye maisha yao 😂😂😂😂.. wa div 3 ya mwisho na wao hatuchekani
Advance ulipata ngapi Physics?Dah!!!! Noumer sana,mie nilipata A ya physics o-leve ambayo mpaka leo haijawahi tokea pale shuleni,japo bi mkubwa wangu hua hayakubali kabisa matokeo yangu
View attachment 1794354
Usikute alitaga au alipiga 4 nzuri maana kama alifaulu angesema [emoji1][emoji1][emoji1]Advance ulipata ngapi Physics?
Naielewa sana Advance hasa kwa PCM, PCB, PGM.Usikute alitaga au alipiga 4 nzuri maana kama alifaulu angesema [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] Ha ha hizo comb zilihaibisha wengi sanaNaielewa sana Advance hasa kwa PCM, PCB, PGM.
Akikaa kimya hilo ni jibu tosha.
Nilibahatika kuangukia miongoni mwa kombi hizo hapo juu, cha mtema kuni nilikiona, ila namshukuru Mungu, Physics ilinipa sana heshima
Kwani chuo kikuu huwa wanataka 3 au principle pass. Pale uhasibu kwa mfano hakuna wenye 3.Msijipe moyo. Waliopiga one wengi wao wana maisha mazuri. Sema wengi wanaishia middle class. Wenye one wengi wao kufika daraja la juu kabisa ni changamoto. Huishia lile daraja la kuwa na nyumba moja, gari moja kama crown, spacio na jamii hiyo pamoja na familia inayoishi kizungu. Wale wa div three kushuka chini wengi wao huwa daraja la chini kabisa kimaisha na wachache huwa daraja la juu kabisa... hawakaagi katikati.
Shule ya msingi nilipata wastani wa B , O level Div II 18, Advance Div II 10 PCM , Chuo upper second class 3.7 GPA namshukuru Mungu maisha yangu ya kusoma yalikuwa ni wastani na sijatumia nguvu kama vile kukesha au kusoma sanaKama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Mkuu nilipiga B,ama unataka nayo niyaweke hapa?Advance ulipata ngapi Physics?
wale tuliopiga 4 kidato cha nne kisha tukaanza cheti kwa kuungaunga tukafika hadi degree nako tukatoka na GPA za gentleman tujuane....Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Wiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.[emoji1][emoji1][emoji1] Ha ha hizo comb zilihaibisha wengi sana
😂😂😂wale tuliopiga 4 kidato cha nne kisha tukaanza cheti kwa kuungaunga tukafika hadi degree nako tukatoka na GPA za gentleman tujuane....