Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuu, hapo Physics uliinyosha sanaMkuu nilipiga B,ama unataka nayo niyaweke hapa?
Pole sana,😂😂kuna maisha zaidi ya one ya darasani braza,.daah maisha haya hayana formula kbsa na haki pia
[emoji1][emoji1][emoji1] Ha ha hizo comb zilihaibisha wengi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akina john kisomo mnaitwa mjikumbushie kukomaa kwenu,..
Nipo hapaTuliopata Div 1 level zote tunacomment wapi?
Mkuu physics ni noumer,pamoja na ufaulu wote huo,sasa naishi maisha kama shetani japo nina master's ila dah!!!!! Mpaka hua najuta sana kusomaHongera mkuu, hapo Physics uliinyosha sana
Kitu usichojua biashara sio kwaajili ya kila mtu, kuna watu wana idea ila hawajui kuzifanyia kazi, kuna watu wana pesa ila idea ya kuzizalisha zaidi hawana. Na kuna watu wana vyote sasa akizichanganya ndio hao kina bill gates.Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka[emoji38][emoji38]!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia[emoji1787]!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Hakika...naielewa hiiKitu usichojua biashara sio kwaajili ya kila mtu, kuna watu wana idea ila hawajui kuzifanyia kazi, kuna watu wana pesa ila idea ya kuzizalisha zaidi hawana. Na kuna watu wana vyote sasa akizichanganya ndio hao kina bill gates.
Hahahhaaa, unaishi kama mashetani,, hapo unalinda legacy ya mwendazake kabisa.Mkuu physics ni noumer,pamoja na ufaulu wote huo,sasa naishi maisha kama shetani japo nina master's ila dah!!!!! Mpaka hua najuta sana kusoma
Kwani phys ya mchezo bas? Inanyoosha watu hatari. [emoji23][emoji23]Naielewa sana Advance hasa kwa PCM, PCB, PGM.
Akikaa kimya hilo ni jibu tosha.
Nilibahatika kuangukia miongoni mwa kombi hizo hapo juu, cha mtema kuni nilikiona, ila namshukuru Mungu, Physics ilinipa sana heshima
Sitasahau mabao niliyokuwa nayapiga kwenye chumba cha mtihani wa Physics, hahahahaaKwani phys ya mchezo bas? Inanyoosha watu hatari. [emoji23][emoji23]
Phys km hukusoma tuit, afu uende special lol, wallah nilijuta yaanWiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.
Ticha wa Phyz aliingia akapiga Projectile, Error and Dimension na Simple Harmonic Motion ndani ya kipindi kimoja cha dk 40, darasa zima tulipigwa na butwaa. Mimi binafsi nilipaniki, hadi nikaugua na kurudi home(kwa mlezi) kwanza.
Nilipoulizwa maendeleo ya shule, nilisema mambo ni hatari(uzuri huyu mlezi aligonga PCM anajua mziki wa Phyz).
Baada ya kupona nikatangaza vita moyoni mwangu, now the rest is history.
Sasa huku kitaa ndio kimbembe, Hamna kudrive formula kwanza kama nilivyokuwa nafanya kwenye physics, hahahahaa
Hongera sana, shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalumu niliishia kuzisikia kwenye sogaStd 7, nilipata A masomo yote, na wastani A, nikachaguliwa kujiunga ktk shule 1 kongwe ni ya bweni na ni jinsia 1,
O level, nilipata div 1 ya 11, nikachaguliwa shule ya vipaji maalumu mchepuo wa sayansi,
A level, nilipata 1 ya 6,..
Naendelea kupambana na maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] phys bhana, inakuumbua kwenye paper, unabaki kushangaa tyuuh. Sina hamu kabisa.Sitasahau mabao niliyokuwa nayapiga kwenye chumba cha mtihani wa Physics, hahahahaa
Wote wanaopata B na C za Advance Phyz nawaheshimu sana.Phys km hukusoma tuit, afu uende special lol, wallah nilijuta yaan