Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kazeni...tupo majalalani hatuelewi moja wala mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazeni...tupo majalalani hatuelewi moja wala mbili
Hizi chai jaman muwe mnaweka viungo basMm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Vipi baada ya kuna 1b ya dogo..chupi haikulowa kweli nanyupuHaswaaa!
Kuna ukweli hapa.Msijipe moyo. Waliopiga one wengi wao wana maisha mazuri. Sema wengi wanaishia middle class. Wenye one wengi wao kufika daraja la juu kabisa ni changamoto. Huishia lile daraja la kuwa na nyumba moja, gari moja kama crown, spacio na jamii hiyo pamoja na familia inayoishi kizungu. Wale wa div three kushuka chini wengi wao huwa daraja la chini kabisa kimaisha na wachache huwa daraja la juu kabisa... hawakaagi katikati.
Wangebadili tu matokeo kama mwaka 2012Hio ni CSEE mwaka 1998,, pepa ilirudiwa January 1999
Linganinisha ni disco ndio utajua wapi ni uungwanaNimefeli chuo module 1 nimeambiwa nirudie semister nzma sawa na kurudia Mwaka
Je huu ni uugwana?
kiswahili kupata A sio kazi ndogo..HongeraMungu mkubwa Sana nilipata one Olevel.....Somo la kiswahili lilikua gumu sana, tuliomaliza 2009 wanajua, nilinosha kiswahili A ya kibabe sana.Somo la kiswahili nilikua wa 9 kitaifa,,nilipokea barua ya pongezi toka wizarani, nimeijengea sanamu geto.View attachment 1794604
Tupe sample ya tafiti yako.Msijipe moyo. Waliopiga one wengi wao wana maisha mazuri. Sema wengi wanaishia middle class. Wenye one wengi wao kufika daraja la juu kabisa ni changamoto. Huishia lile daraja la kuwa na nyumba moja, gari moja kama crown, spacio na jamii hiyo pamoja na familia inayoishi kizungu. Wale wa div three kushuka chini wengi wao huwa daraja la chini kabisa kimaisha na wachache huwa daraja la juu kabisa... hawakaagi katikati.
Asantevl Brokiswahili kupata A sio kazi ndogo..Hongera
Maths ntakufundisha uko wap nazijua vzur saaanamje mtufundishe math
nataka unifundishe Differential Equations and Complex variables.. mda ukiwapo wa kutosha utanifundisha advanced calculus.. nipo Dar es Salaam👴👴👴Maths ntakufundisha uko wap nazijua vzur saaana