Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
O level nina I ya 13, St James Seminary, advance nina I ya 4 shule moja kongwe ya serikali na inayoheshimika sana Tz...wao huita vipaji maalum ila mimi naiita ya 'Wenye ufaulu wa juu'Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Chemia uliitelekeza sanaDivision 1.5... pcm... physics A, chemistry E, advanced mathematics A, divinity C.... its not kwamba kufaulu shule ndio kufaulu maisha.. but atleast its an achievement. Hata wazazi wanaona hawajachezea hela yao kukulipia ada. Nakumbuka kuna dada yangu mmoja alikua haamini kama ningeweza kupata division 1 ya PCM...hahahahaha.. nikamuaminisha mpaka akakubali.. mwisho wa siku tukafurahi pamoja na mpaka leo tuko karibu sana...
Nakiri hilo. Na nilikua siipendi kabisa... nashukuru Mungu hata nikipata hiyo E... mwanzo nilidhani ningegoga mswakiChemia uliitelekeza sana
Mimi niliifaulu ila kwa kuchagua topic, Organic ilikuwa tia maji tia maji yale maswala ya conversion yalikuwa yananiboa sana.Nakiri hilo. Na nilikua siipendi kabisa... nashukuru Mungu hata nikipata hiyo E... mwanzo nilidhani ningegoga mswaki
Mimi niliifaulu ila kwa kuchagua topic, Organic ilikuwa tia maji tia maji yale maswala ya conversion yalikuwa yananiboa sana.
Niliponea kwenye Physical, Inorganic, Soil na Practical
Lakini hii mbinu ilinibwaga nilipofika chuo maana huko nilitakiwa kufaulu hata somo liwe ngumu ndio niweze kusonga mbeleHongera sana mkuu. Hakika ulitumia mbinu bora
Hahahahaaa, mimi kilaza my loveNgoja Nimuite mzee Baba, Infantry Soldier aseme chochote
Duh hivi kuna I ya 18 kweli?Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;
Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Kiswahili ina penalty? Mie nkajua n maths tyuuh.Hongera sana mkuu.
Kuna huyu mwamba Sosthenes Maendeleo mwaka huo alipata F ya kiswahili, akapata A za Phyz, Chemia na Math. Akapigwa penati akawa na One ya point 13.
Ndiyo boss kwa mujibu wa baraza la mitihani la Somalia.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo boss kwa mujibu wa baraza la mitihani la Somalia.
Miaka hiyo ilikuwa na penatiKiswahili ina penalty? Mie nkajua n maths tyuuh.
Hii inaitwaga "gentle man" passMie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu .. 😂😂
Duuuh, yani mpaka wewe ulipataga one?Div 1 kitu cha kawaida sana.
Nyie ndio design ya Magufuli akina Mpango kusoma kwenu kwa shida inapelekea kuwa na roho mbaya zaidi ya Jambazi.nawafahamu wengi sana waliosoma kwa namba yako baada ya kuwa viongozi yani ni roho mbaya.Niliiotea A-level na darasa zima one zilikuwa mbili tu na yangu ndani🤣🤣🤣....alafu ulikuwa msuli wa taa ya chemli na karabai daaah,acheni MUNGU aitwe MUNGU.
Na mbaya zaidi Jamii ya kitanzania na diniani haiwezi kukumbuka kwa kupata division 1 bali umeitumiaje hiyo One kusaidia Jamii.Nina One ya Olevel na Advance lakini kitaa nimezungusha.
Baadhi ya classmate wangu waliofeli primary sasa ni madon
Sasa nimeamua kupambana ili niache alama kwenye jamii kwa hiki kiduchu nilichokisoteaNa mbaya zaidi Jamii ya kitanzania na diniani haiwezi kukumbuka kwa kupata division 1 bali umeitumiaje hiyo One kusaidia Jamii.