Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;

Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Pole na hongera mkuu...ila kama mada hii naona itawakata morale wanafunzi jamani! Naona mama haifai
 
Wazee wa average.

Mtu anapiga C flat hafu mjini tunaendesha BMW na tunaingia na jinsi kazini.

Hao wa one wapo tu na suruali zao za marinda na upanga wanahaha.
😀😀😀😀😀😀😀 tuna wapisha kwata la hatari
 
Div I.15 pale IV, ila maisha tunaishi sawa tuu na mafundi hapa mtaani ndo maana mdogo wangu simkazii sana shule namfundisha study za maisha
 
shule ya msingi sikufaulu ,nikaenda shule za wazazi o level nikapata one ya 13 , A level nikapata one point 4 ( CBG) ,chuo nikamaliza na ufaulu mzuri tu.

Nikili tu kuna jamaa zangu tulifail pamoja wakaanza biashara ya kuuza samaki na wengine biashara za nguo na nafaka .nikili tu jamaa wako mbali sana kunizidi na wako na pesa nyingi .

Lakini sijutiii kwenda shule hawa jamaazangu hawajiamini kabisa katika maisha wana hofu sana na maisha

Ila pia wengi waliofail wanaishi maisha magumu sanaa kupitiliza

Mpango wangu lazima hii elimu niitendee haki ,lazima nibadili hizi " A" kuwa pesa na fursa kwangu na kwa wengine

Wito kwa wasomi " tupambane tuoneshe utofauti "
 
Mungu mkubwa Sana nilipata one Olevel.....Somo la kiswahili lilikua gumu sana, tuliomaliza 2009 wanajua, nilinosha kiswahili A ya kibabe sana.Somo la kiswahili nilikua wa 9 kitaifa,,nilipokea barua ya pongezi toka wizarani, nimeijengea sanamu geto.View attachment 1794604
Kiswahili A, hongera sana.
 
Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;

Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Usikate tamaa ..stay Positive...Mimi Mtu wa mitungi daily..ila naweza..Washkakiji wa kitaaaa ata awe na pesa kiasi gani namkalisha...Ila najifunza kupitia kwao Sina kiburi
 
Mungu mkubwa Sana nilipata one Olevel.....Somo la kiswahili lilikua gumu sana, tuliomaliza 2009 wanajua, nilinosha kiswahili A ya kibabe sana.Somo la kiswahili nilikua wa 9 kitaifa,,nilipokea barua ya pongezi toka wizarani, nimeijengea sanamu geto.View attachment 1794604
Hongera sana mkuu.

Kuna huyu mwamba Sosthenes Maendeleo mwaka huo alipata F ya kiswahili, akapata A za Phyz, Chemia na Math. Akapigwa penati akawa na One ya point 13.
 
Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;

Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Pole sana mkuu, wengi sana tunajutia kupoteza muda mwingi darasani tukija kitaa tunapigwa mweleka
 
Kuna wale tulipataga F tukachekwa na utanashat wetu alafu tukakimbilia migodini.
 
shule ya msingi sikufaulu ,nikaenda shule za wazazi o level nikapata one ya 13 , A level nikapata one point 4 ( CBG) ,chuo nikamaliza na ufaulu mzuri tu.

Nikili tu kuna jamaa zangu tulifail pamoja wakaanza biashara ya kuuza samaki na wengine biashara za nguo na nafaka .nikili tu jamaa wako mbali sana kunizidi na wako na pesa nyingi .

Lakini sijutiii kwenda shule hawa jamaazangu hawajiamini kabisa katika maisha wana hofu sana na maisha

Ila pia wengi waliofail wanaishi maisha magumu sanaa kupitiliza

Mpango wangu lazima hii elimu niitendee haki ,lazima nibadili hizi " A" kuwa pesa na fursa kwangu na kwa wengine

Wito kwa wasomi " tupambane tuoneshe utofauti "
Ndo maana narudia tena kusema wengi ambao hawakufaulu shuleni wana maisha magumu. Tofauti yao na tuliosoma ni kwamba wao wakiamua kusaka mafanikio ni wanaenda hadi daraja la juu kabisa. Wasomi karibu wote tuko daraja la kati ambalo halina uhuru wa kifedha. Vilaza wapo kwenye ufukara na wachache ndo matajiri wakubwa wanaokimbiza. Msomi ukiamua kuingia daraja la juu ni rahisi sana bila kutumia nguvu nyingi. Tatizo la wasomi ni UOGA. Ujuaji mwingi huchangia uoga.
 
Ndo maana narudia tena kusema wengi ambao hawakufaulu shuleni wana maisha magumu. Tofauti yao na tuliosoma ni kwamba wao wakiamua kusaka mafanikio ni wanaenda hadi daraja la juu kabisa. Wasomi karibu wote tuko daraja la kati ambalo halina uhuru wa kifedha. Vilaza wapo kwenye ufukara na wachache ndo matajiri wakubwa wanaokimbiza. Msomi ukiamua kuingia daraja la juu ni rahisi sana bila kutumia nguvu nyingi. Tatizo la wasomi ni UOGA. Ujuaji mwingi huchangia uoga.
Uko sawaa kabsa ,ndo maana nasemaga MTU ukisoma ukakosa kazi usikate tamaa ,tulia Fanya mambo yako iko siku elimu yako itakupa mwelekeo katika kuajiriwa au kujiajir na ukafika mbali kwa mda mfupi

Kuna jamaa kijin kwetu alisoma misitu akakosa kazi kwa miaka mitatu akawa yuko kijijin analima vibarua na ng'ombe wa babake mkubwa ,Mara ana enda kufanya vibarua vya kulima na kupalilia Mara akawa anafanya biashara ya kuuza nyama ya nguruwe virabuni kwa kuchoma watu walimsema vibaya sana na wakaona elimu haina maana .

Sasa basi mwaka wa NNE mtaan akapata shavu kweny kampuni ya utafiti wa misitu tena project manager kabsa na project ilikuwa na fund ya kutoshaa ...alipiga pesa akajenga nyumba ya mfano pale kijijin baada ya miaka miwili na akawa ameoa kwa sherehe kubwa na baada ya miaka mingine miwili akanunua gari kaliii mnooo

Project iliisha kaingia serikalin nako alipata kazi nzuri kama mkaguzi wa misitu kwa miaka kama saba hiv alifanya mambo makubwa sanaaaa ....ila bahati mbaya alikufa kwa ajali ila mpaka Leo alileta heshima kubwa sanaa

Wito kusoma soma ,maisha ni matokeo ambayo kwa msomi mda wowote anayapatia hata kwa kuchelewaa.

Ukiwa huna kazi na unavyeti kamwe usikate tamaa ipo siku isiyo na jina destiny yako itafika na hutaamin na wanaosema umesoma huna kazi watapata jibu .
 
Back
Top Bottom