Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa, eti nikarudi ghetto.Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Ulikosaje A ya basic maths mkuu ?Dah!!!! Noumer sana,mie nilipata A ya physics o-leve ambayo mpaka leo haijawahi tokea pale shuleni,japo bi mkubwa wangu hua hayakubali kabisa matokeo yangu
View attachment 1794354
Daaaah vipaji kule kukomaa San, yaan hapan sitaki kukumbuka hata.Hongera sana, shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalumu niliishia kuzisikia kwenye soga
Yes mikoani huko tunaishi gheto tu ...Hahaaa, eti nikarudi ghetto.
Nilitoka na C ya phys Advance, wallah nashukuru San, ila mziki wake sita usahau kamwe.Wote wanaopata B na C za Advance Phyz nawaheshimu sana.
Phyz unaweza kuisoma kwa nguvu zote na ukaishia kuambulia mswaki kabisa
Nina imani hapo ulimeza Nelkon, Roger, University Physics na ChandNilitoka na C ya phys Advance, wallah nashukuru San, ila mziki wake sita usahau kamwe.
Ha ha ha kuna jamaa yangu alipiga pcm alikutana na jamaa yake kapiga hatua vibaya mtaan.. Akaambiwa "we si ulikuwa unatusolvia Physics sasa sisi tunakusolvia maisha" jamaa mpka leo hiyo kauli inatembea akilini mwake japo aliambiwa kiutani!Wiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.
Ticha wa Phyz aliingia akapiga Projectile, Error and Dimension na Simple Harmonic Motion ndani ya kipindi kimoja cha dk 40, darasa zima tulipigwa na butwaa. Mimi binafsi nilipaniki, hadi nikaugua na kurudi home(kwa mlezi) kwanza.
Nilipoulizwa maendeleo ya shule, nilisema mambo ni hatari(uzuri huyu mlezi aligonga PCM anajua mziki wa Phyz).
Baada ya kupona nikatangaza vita moyoni mwangu, now the rest is history.
Sasa huku kitaa ndio kimbembe, Hamna kudrive formula kwanza kama nilivyokuwa nafanya kwenye physics, hahahahaa
Yaan nikisikia chand, akili inawehuka kabisaah, ila projectile na dimensions jaman siku sir anafundisha nusu nimtukane, akili ilihama haswaaah, yaan chenga tyuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina imani hapo ulimeza Nelkon, Roger, University Physics na Chand
Bila kusahau pamphlet kibao
Daahh, life halina huruma kabisa.Ha ha ha kuna jamaa yangu alipiga pcm alikutana na jamaa yake kapiga hatua vibaya mtaan.. Akaambiwa "we si ulikuwa unatusolvia Physics sasa sisi tunakusolvia maisha" jamaa mpka leo hiyo kauli inatembea akilini mwake japo aliambiwa kiutani!
Hahahahaa, mimi Chand nilipata kuipenda sana hasa kwa Conceptual questions, nilizimeza haswaYaan nikisikia chand, akili inawehuka kabisaah, ila projectile na dimensions jaman siku sir anafundisha nusu nimtukane, akili ilihama haswaaah, yaan chenga tyuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Phys [emoji119][emoji119][emoji119]
tupo majalalani hatuelewi moja wala mbiliMngetuambia Kwasasa mko wapi ingependeza pia..all in all hongereni
halafu wanadharau sanaShida 1 hawajaenda shule...yaan akili zao zimefubaa...so wanaoenda shule utakaa nao mbali mno ..humgusi...
Noma sana. Unakuta mwenzako anaanzisha business anaanzisha biashara ndogo tu anapiga 15 hadi 20 faida kwa siku wewe unaona kama ndogo au kuanza na business mtaji 1m ni mdogo. Umekaa kwenye sofa unawaza kumiliki mansions.Hapo hapo...na wasomi wana mahesabu meengi...khaa...wasiosoma wanajitosa unawaona wakija ibuka wako mbali
Piga fitina mkuu. Nenda hata kwa bibi. Atakuaje bosi kizembezembe.Kuna mwanangu alipiga 1. mimi nikaungaunga sekondari Swaziland, mwaka 2019 tukakuta South Sudan kwenye project.Nikashangaa mimi ndiyo supervisor wake, lakini nakubali kimaarifa ya kikazi amenizidi uwezo na sitashanga anytime akiwa Boss wangu.
Kwenye utafutaji siyo.Yes mikoani huko tunaishi gheto tu ...
Ewaaa.....Kwenye utafutaji siyo.
Siwapendei hicho tu...wana dharau za ajabu wale watu...arghhh...halafu wanadharau sana