Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Hahaaa, eti nikarudi ghetto.
 
Nilitoka na C ya phys Advance, wallah nashukuru San, ila mziki wake sita usahau kamwe.
Nina imani hapo ulimeza Nelkon, Roger, University Physics na Chand

Bila kusahau pamphlet kibao
 
Wiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.
Ticha wa Phyz aliingia akapiga Projectile, Error and Dimension na Simple Harmonic Motion ndani ya kipindi kimoja cha dk 40, darasa zima tulipigwa na butwaa. Mimi binafsi nilipaniki, hadi nikaugua na kurudi home(kwa mlezi) kwanza.

Nilipoulizwa maendeleo ya shule, nilisema mambo ni hatari(uzuri huyu mlezi aligonga PCM anajua mziki wa Phyz).

Baada ya kupona nikatangaza vita moyoni mwangu, now the rest is history.

Sasa huku kitaa ndio kimbembe, Hamna kudrive formula kwanza kama nilivyokuwa nafanya kwenye physics, hahahahaa
Ha ha ha kuna jamaa yangu alipiga pcm alikutana na jamaa yake kapiga hatua vibaya mtaan.. Akaambiwa "we si ulikuwa unatusolvia Physics sasa sisi tunakusolvia maisha" jamaa mpka leo hiyo kauli inatembea akilini mwake japo aliambiwa kiutani!
 
Nina imani hapo ulimeza Nelkon, Roger, University Physics na Chand

Bila kusahau pamphlet kibao
Yaan nikisikia chand, akili inawehuka kabisaah, ila projectile na dimensions jaman siku sir anafundisha nusu nimtukane, akili ilihama haswaaah, yaan chenga tyuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Phys [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ha ha ha kuna jamaa yangu alipiga pcm alikutana na jamaa yake kapiga hatua vibaya mtaan.. Akaambiwa "we si ulikuwa unatusolvia Physics sasa sisi tunakusolvia maisha" jamaa mpka leo hiyo kauli inatembea akilini mwake japo aliambiwa kiutani!
Daahh, life halina huruma kabisa.
 
Yaan nikisikia chand, akili inawehuka kabisaah, ila projectile na dimensions jaman siku sir anafundisha nusu nimtukane, akili ilihama haswaaah, yaan chenga tyuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Phys [emoji119][emoji119][emoji119]
Hahahahaa, mimi Chand nilipata kuipenda sana hasa kwa Conceptual questions, nilizimeza haswa
 
Hapo hapo...na wasomi wana mahesabu meengi...khaa...wasiosoma wanajitosa unawaona wakija ibuka wako mbali
Noma sana. Unakuta mwenzako anaanzisha business anaanzisha biashara ndogo tu anapiga 15 hadi 20 faida kwa siku wewe unaona kama ndogo au kuanza na business mtaji 1m ni mdogo. Umekaa kwenye sofa unawaza kumiliki mansions.
Kuna mwanangu alipiga 1. mimi nikaungaunga sekondari Swaziland, mwaka 2019 tukakuta South Sudan kwenye project.Nikashangaa mimi ndiyo supervisor wake, lakini nakubali kimaarifa ya kikazi amenizidi uwezo na sitashanga anytime akiwa Boss wangu.
Piga fitina mkuu. Nenda hata kwa bibi. Atakuaje bosi kizembezembe.
 
Dah nilipata two aisee ya mwisho mwisho huko mwaka fulanii hivi ambao ni historia aisee mpaka necta ikarudia paper...
 
Back
Top Bottom