Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Hatarii mkuu.

Kuna watu walikufanyia ubaya??

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana yake na kilichomshitua broo ni huyo mtu kwenda Kwa broo na kumwambia kuwa Kuna msiba unakuja tujipange alipoulizwa ni nani akajibu ni ....... mdogo wako yaani Mimi. Huyu ni shangazi yangu aliyenilea tangu kuanza utoto kumbe alitaka kunichukua msukule nikaponea kwenye TUNDU la sindano
 
Hizo pisi huwa unazipima kabla ya kuzilomba?
alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
 
Nashida na namba yake huyu
 
Mganga wa kweli ni Tigo tuu kama huamini 👇🏻

Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Mimi nahitaji huyo wa bagamoyo wa babu yako
 
Maadamu nakuomba na mimi nahitaji misaada pls,,
 
Duu Dunia ina mambo
 
 
Kuamini mganga ni kupoteza muda wako wa thamani.
Kweli aisee kuna mgaga niliambiwa nikamsake huko mbekenyera anatibu vibamia....alooh najutaaa hela niliyopoteza huko porini. Kibamia kinachanjwa wee mara upake dawa zinawashaaa kibamia chenyewe hakikui. 1.2mil down the drain😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…