The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Kila Mtu kwenye maisha kuna wakati anaamua kucheza kamari na maisha yake anaona Liwalo na Liwe, ikitiki Nimetoboa ikibuma FRESH (Kakubali Matokeo)
Ni wakati gani kwenye maisha yako umeshawahi kuchungulia Kaburi au Hatari kwa kupenda wewe mwenyewe ukiamini matokeo yatakua chanya?
Kuna HATARI halafu kuna Hatari na Robo Tatu, Wakati gani huo ambao ulipopita ule wakati ukikaaga chini unajisemea
1.Unasema Mimi ni MOJA ya mtu hatari sana yani mimi ni mtu M.bADI.
2.Sitokaaa Kamwe nirudie ule uchizi acha ibaki historia.
Ni wakati gani kwenye maisha yako umeshawahi kuchungulia Kaburi au Hatari kwa kupenda wewe mwenyewe ukiamini matokeo yatakua chanya?
Kuna HATARI halafu kuna Hatari na Robo Tatu, Wakati gani huo ambao ulipopita ule wakati ukikaaga chini unajisemea
1.Unasema Mimi ni MOJA ya mtu hatari sana yani mimi ni mtu M.bADI.
2.Sitokaaa Kamwe nirudie ule uchizi acha ibaki historia.