I've never risk my fvcking money!, lakini Nakumbuka nilishawahi ku risk hizi ndude zangu mbili, vitunza mbegu a.k.a vinyanya mshenzi ama kwa sie intelligent people tunaita nungenunge!.
Alikuwa mshangazi mmoja hivi nimetokanae nipo nae room sasa kuna kibinti kikapiga simu nikiwa nimelala wakaongea mi sikusikia!, alivyomaliza mbaba wako kwenye moja na mbili nilikuwa nimelala wanasema uchi wa mnyama!..
mshangazi wa watu kafura maana nilimuambiaga she's one and my only nyamnyam!.
Dadeki the way alivozishika kwa spidi that was not public it was personal!..
Niliamka katika lile lindi la usingizi nikiwa ktk hali ya mshangao, maumivu na hangaiko!.. her face was like jambazi sugu!, weupe wake wote ulikuwa mwekundu!. nikajua tu tayari nimeharibu.. akiwa kazishika vyema yani huwezi hata kutikisika akaniuliza
"Hanifa ni nani..?"
kwa sisi madungadunga ukiulizwa hivi na unajua ni nani huwa hatukubali!.
si nikakataa simjui!.
Nyie kuna kibinyo halafu kuna kimbinyo!.. the kimbinyo she gave me i decided to shout mpaka kidaka tonge changu alikiona!.. nilitoa machozi fulani hivi yakawa yanadondokea kwa nyuma ya masikio!. muhuni niligoma kusema
Aliekuja kuokoa ni manager wa ile lodge, ilibidi wafungue kwa funguo zao ule mlango maana zile kelele zangu zilikuwa za maumivu makali mno kulikuwa na AC ila walinikuta nimelowa chepechepe!.
Baada yakufanikiwa kutoka kwa hilo limshangazi ndio hapo niliapa sitakuja kuchukua mishangazi tena!, but you know what happened after three days she texted me and i texted her back the nyamnyam continue!..😅