KudadeqKutuma pesa ya mtaji wote ili nipate bidhaa. Aisee nilifunga kibahasha cha pesa nikampa dereva wa bus flani nikamwambia hii ni pesa kadhaa ukifika mwisho wa safari atakuja huyu mwenye namba hii niliyoandika kwenye bahasha hii atakuretea mzigo utampa hii bahasha. Sikulala siku mbili nikiwaza eidha bus litapata ajari au jamaa atafunga mzigo hewa. Nashukuru mzigo ulifika salama ila niliteseka sana. Mpaka leo natake risk ila ni zile ndogo eitha 5% lkn storudia tena ku take risk ya 100%
Shs ngap??Kubetia na hela ya ada, mkeka ukatiki
I've never risk my fvcking money!, lakini Nakumbuka nilishawahi ku risk hizi ndude zangu mbili, vitunza mbegu a.k.a vinyanya mshenzi ama kwa sie intelligent people tunaita nungenunge!.KENZY njoo utoe ushuhuda, hukosi mkasa wa ajabu ajabu wewe
Sasa huu ushuzi uliambatanisha na hii thread yako ni wa nini? Kwani maelezo yako tu yasingetosheleza? Sana sana ilibidi wewe uanze kuelezea uliwahi kufanya nini.Kila Mtu kwenye maisha kuna wakati anaamua kucheza kamari na maisha yake anaona Liwalo na Liwe, ikitiki Nimetoboa ikibuma FRESH (Kakubali Matokeo)
Ni wakati gani kwenye maisha yako umeshawahi kuchungulia Kaburi au Hatari kwa kupenda wewe mwenyewe ukiamini matokeo yatakua chanya?
Kuna HATARI halafu kuna Hatari na Robo Tatu, Wakati gani huo ambao ulipopita ule wakati ukikaaga chini unajisemea
1.Unasema Mimi ni MOJA ya mtu hatari sana yani mimi ni mtu M.bADI.
2.Sitokaaa Kamwe nirudie ule uchizi acha ibaki historia.
View attachment 3261071
Lohπ π π π .I've never risk my fvcking money!, lakini Nakumbuka nilishawahi ku risk hizi ndude zangu mbili, vitunza mbegu a.k.a vinyanya mshenzi ama kwa sie intelligent people tunaita nungenunge!.
Alikuwa mshangazi mmoja hivi nimetokanae nipo nae room sasa kuna kibinti kikapiga simu nikiwa nimelala wakaongea mi sikusikia!, alivyomaliza mbaba wako kwenye moja na mbili nilikuwa nimelala wanasema uchi wa mnyama!..
mshangazi wa watu kafura maana nilimuambiaga she's one and my only nyamnyam!.
Dadeki the way alivozishika kwa spidi that was not public it was personal!..
Niliamka katika lile lindi la usingizi nikiwa ktk hali ya mshangao, maumivu na hangaiko!.. her face was like jambazi sugu!, weupe wake wote ulikuwa mwekundu!. nikajua tu tayari nimeharibu.. akiwa kazishika vyema yani huwezi hata kutikisika akaniuliza
"Hanifa ni nani..?"
kwa sisi madungadunga ukiulizwa hivi na unajua ni nani huwa hatukubali!.
si nikakataa simjui!.
Nyie kuna kibinyo halafu kuna kimbinyo!.. the kimbinyo she gave me i decided to shout mpaka kidaka tonge changu alikiona!.. nilitoa machozi fulani hivi yakawa yanadondokea kwa nyuma ya masikio!. muhuni niligoma kusema
Aliekuja kuokoa ni manager wa ile lodge, ilibidi wafungue kwa funguo zao ule mlango maana zile kelele zangu zilikuwa za maumivu makali mno kulikuwa na AC ila walinikuta nimelowa chepechepe!.
Baada yakufanikiwa kutoka kwa hilo limshangazi ndio hapo niliapa sitakuja kuchukua mishangazi tena!, but you know what happened after three days she texted me and i texted her back the nyamnyam continue!..π
Let's get out here..Lohπ π π π .
Back to the main issue...who was Hanifa?