Afro king
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 445
- 455
ππ hatimae ulipata UKIMWI na ninahisi ushaanza doz ππ
subiri wazinifu waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ hatimae ulipata UKIMWI na ninahisi ushaanza doz ππ
subiri wazinifu waje
hahaha mkuu pale uliwekeza.. Badaye lazma uone faidaMimi najuta kutumia hela nyingi badala ningekunywa balimi. Shenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
kupitia mkasa huo.. Mkuu I hope ulipata funzo kubwa. Na utulie sasa mkuuKuna demu nilitembea nae, alafu washikaji zangu wakawa wanamuongelea huyo manzi kuwa ana ngoma na vile walikuwa hawajui nishabonya, wewe niliondoka hapo kimya kimya nikarudi kwenye sehemu yangu ya Kazi nilijuta badae nilimpigia huyo manzi simu kwa kumlaumu mno kwa nini ameniua, manzi pia akaanza kilio, akaniambie niende nae tukapime asie huwezi amini tuilipima Hospital 4..
Hiyo ndio siwezi sahau.
hahaha mkuu.. Upo vizur
wana wanakujali sana.. Hahaha au nao fisi nin.. Af sijui kwanin huwa tunawaona upande wa pili nd wenye tatzo Ila sis ka sis tunajiona wazmaπππππ hapo ujue nimeshakimbia nyingi kwa close friends kuniambia sasa unataka kufaππππ. Huyo bidada unaongea naye kishaua wengi na wewe unapeleka pua yako ukaunguzwe πππ basi najikata mzima mzima πππ. Mara nyingi ni dada wa watu kuhisiwa vibaya tu BUT better be SAFE than SORRY.
wana wanakujali sana.. Hahaha au nao fisi nin.. Af sijui kwanin huwa tunawaona upande wa pili nd wenye tatzo Ila sis ka sis tunajiona wazma
hahaha haswa wew inaonekana mbishi sana mkuu nd maana wanakupa taadhar sana. Suala la barakoa bn dahh toboa ata katundu kadogo ka kupitishia kijiko tu.. Au mrijaSana aisee nawashukuru mnooo ila tunajaliana sana tu katika kustuana kuhusu afya zetu wapi pa kupita, kuepuka misongamano na kukumbuka kuvaa BARAKOA ππππ Sasa wengine wabishi mie naenda kula restaurant nitakulaje chakula huku nikiwa nimevaa barakoa? ππ
hahaha haswa wew inaonekana mbishi sana mkuu nd maana wanakupa taadhar sana. Suala la barakoa bn dahh toboa ata katundu kadogo ka kupitishia kijiko tu.. Au mrija
Habari wanaJf,
Poleni na harakati za kutafuta riziki. Hongereni pia maana nyinyi ni wapambanaji na ipo siku mtashinda.
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. Ebu kiangalie tena kinasemaje. Haha
Basi bana ngoja nianze na mimi, yes ishatokea tena nilijuta sana. Ata sijui why. Sijui ilikua tamaa zangu au huenda kwa vile sikutumia kinga. Sijui kitumbua hakikua kitamu.. Dahh
Anyway nawe unaeza kueleze kidogo ilikuaje kwako
Karibu sana.