Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?


Tangawizi kiungo kizuri, ila muhimu kipimo sahihi kwenye chai.
 
Kama ukiendelea kuwa na huyo manzi utachapiwa tena, tena bahati mbaya jamaa anatumia mgongo wako kukuchapia, wewe unalipia lodge kisha yeye anakuja kumkojoza manzi wako bureee....

Na manzi wako anaonekana anapenda bad boys of a kind, wewe utakuwa goigoi tu hasa nikizingatia ushauri ulioomba, ungekuwa unajielewa huyo demu ungekuwa umeshamsahau as we speak, now ume-chill unacheki totoz nyingine around.
 
Picha lilianza kabla wewe haujaingia huo mkoa, ndio maana hata ulivyofika simu zilikuwa hazipokelewi.

Na ulivyofika ukala mzigo ila yule jamaa ndio anamkuna vizuri, that's why akamuita tena bila kujali uwepo wako🀣

Piga chini K hiyo haifaii.
 
 
Kuchochea kuni sio?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Picha lilianza kabla wewe haujaingia huo mkoa, ndio maana hata ulivyofika simu zilikuwa hazipokelewi.

Na ulivyofika ukala mzigo ila yule jamaa ndio anamkuna vizuri, that's why akamuita tena bila kujali uwepo wako🀣

Piga chini K hiyo haifaii.
Yawezekana kuna shida mahala, ngoja nitafute wamasai nitatue hii shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…