Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

Leteni Mikasa acheni ushauri jamaa hataki ushaurii
AiseeπŸ˜†
Ila hasira zimeanzia pale aliposema amemsamehe..., sijui akalalaa nae mpka asubuhi, katutoa mchezoni
 
Kama wote mmetoka mikoa tofauti na kwenda mkoa tofauti na makazi yenu ili muenjoy, juzi na jana yake mmegonganaweee mpaka mkapitiliza muda wa kuamka, kwa uchovu ulionao ukapenda kutembelea jamaa zako.....ukadanganywa ameenda kwa rafiki zake, simu zako hakuwa anapokea (AKILI YAKE IKO MBALI AKISIKILIZIA UTAMU WA MWANAUME MWENZAKO) Ukaenda mpaka chumba mlicholala siku zote hizo katika mkoa mlioenda kuenjoy, kwenye kitanda kimoja ulichomkunja mwanaume mwengine anamkunja na umewafumania na bado ukamsamehe hahahahaha
1. Hana mapenzi ya kweli na wewe
2. Huyo jamaa ni wa mkoa huo huo na mlipopanga mkutane mkoa huo naimani hakupinga kwasababu huyo mshkaji yupo huko so atampatia dhawadi adimu ambayo inaonekana alianza kuitumbua tangia zamani bila wewe kufahamu hahahaha
KALAGHABAHOOOOOOO🀣🀣🀣🀣
 
We jamaa ni definition ya mwanaume dhaifu.. mwanamke wako analala na mwanaume mwingine kwenye lodge ambayo umelipia chumba wewe.. ulivyo boya kitanda kile kile amechogongewa na wewe ukalala usiku kucha, umelalia mabao ya mwanaume mwenzako usiku kucha,

Halafu ulivyo fala ukadanganyika na machozi ukamsamehe kisa ushauri wa 'mtu mzima'. Kwani wapuuzi hawazeeki? Unadhani kila mtu mzima ana busara?

Wewe jamaa jitafakari.. na utakaposoma post yangu hii mpigie simu huyo mwanamke umwambie kwa dharau aliyokuonesha asikutafute tena na namba yako afute. Na akikuona mtaani ahame njia maana ukimkamata utamtoa komwe.
 
Hahahahah ndugu unaniua kabisaa
 
Hahahahah ndugu unaniua kabisaa
Huo ndio ukweli halisia mdogo wangu, Ila kama unaona powa Tu na uko tayari kwa kuendelea kushare fresh tu coz jamaa alitambulishwa kwako kama rafiki yake meaning anajua kinachoendelea kati yenu je unadhani wataishia hapo kwasababu umegundua?
Jua watabuni njia mpya ambazo zitakufanya uwe gizani zaidi wao wakiendelea kukuona poyoyo mdogo wangu. Msaliti husamehewa kwa kuachwa, ni bora usimdhuru kwa lolote lakini ukamtakia maisha mema na daima atakukumbuka na kumuuma.
 
We una moyo sana mimi hata huo ubavu wa kulala naye kitanda kimoja nisingekuwa nao
 
Silaha ya malaya ni machozi,
tayari boya ameingia kwenye mfumo wake πŸ˜‚!!! Yani demu anakuingizia bwana lodge uliolipia wewe in the same bedroom af unamkuta na kuchukulia baridi!!! You must be damned!!!
 
Nimekuelewa sana brother, ulichokiandika ni ukweli β€œ USAMEHEWA KWA KUACHWA”
 
Silaha ya malaya ni machozi,

tayari boya ameingia kwenye mfumo wake πŸ˜‚!!! Yani demu anakuingizia bwana lodge uliolipia wewe in the same bedroom af unamkuta na kuchukulia baridi!!! You must be damned!!!
Daaah
 
Hapo huna mchumba wala mke mtarajiwa..kama mnakutana mara 1 anakusaliti wazi,je anapokua peke yake anafanya nini?ameshindwa kuvumilia uondoke ndio afanye ujinga na huyo mpuuz mwenzake...nimepata hasira sana,hukutakiwa kulala hicho chumba...huyo ni malaya kakubuhu...hana mapenz na ww,..asije kuua kwa magonjwa,..angeweza chepuka wakati ww haupo,anachepuka na ww umelala nae siku 3 unaichapa...huyo ni kiboko.
 
Ingekua nimewahi kufumania nisinge kusimulia wewe muda huu ningekua zangu jela nawaelezea masela
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…