Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

📌📌
 
Najuta kusoma uzi huu we kweli kiazi yani unapiga ukuta alafu unatoka nje badala uingie ndani chumbani ukapake mtu mafuta
 
Jiandae kwa kilio kikubwa zaidi na usisahau kuna wakati mzigo ulichomoka akaushika akaurudishia. wanaume hautuendeleagi na mwanamke aliekusaliti hata angekuja papa wa roma kukushauri jambo jema kwako ilikuwa kuachana nae
 
Shame up on yourself ~Mwalimu wangu wa hisabati kidato Cha kwanza
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…