Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Husika na kichwa cha habari , Umeshawai kumuacha mpnz wako halafu ukajutia baada ya kukutana na Bomu zaidi , halafu unatamani kumrudia uliyemuacha, Funguka tupate experience mbali mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hauna mkasa utusimulieNipo na [emoji897]kusoma comments.
Oi mjeda point ya msingi hapa ni umewahi kumpata mtu worse zaidi ya aliyepitaHapana.. why should i regret wakati me mwenyewe ni mwanajeshi kwahio maswala ya kutegua mabomu naelewa sana.
Kukutana na mtu worse zaidi ya aliyepitaNijutie kisa nini?
HujanielewaOi mjeda point ya msingi hapa ni umewahi kumpata mtu worse zaidi ya aliyepita
Kabisa hiyo huwa ina wa cosy sana wanakuja kuangukia pabayaWanawake wengi hili swala huwakuta huwaacha wame zao wakihisi huku nje kuna tumaini la kupendwa kuliko vile walivyokuwa wanapendwa na wame zao
Pole kwa huo mkasa ndg , hopefully sahivi ume recoverBinafsi ilishawai kunitokea kipindi ndo naanza kujitafuta kwa ufupi Niliona rangi zote maana ilikua ngumu kukubaliana na uhalisia .
Kibaya zaidi Niljikuta naugulia maumivu kimya kimya sababu sikutaka kuonekana weak 💔
For sure sitawahi sahau maumivu yake ever, Good news nilianza kuzoea kuishi na maumivu siku hazigandi maisha yanaendelea
Nilichojifunza ukipata nafasi ya kumpenda mtoto wa mtu mpende kawaida
Unajua uzi wako hauwezi kupata watu wa kukili kuwa walipoteza pambano kwa kuwaacha watu wao na kujutia kwa sababu ya ukiburiKabisa hiyo huwa ina wa cosy sana wanakuja kuangukia pabaya
Kama wewe wa kwenye avatar lazima nijutie.... Wanyakyusa wataniua kwa mdomo...Husika na kichwa cha habari , Umeshawai kumuacha mpnz wako halafu ukajutia baada ya kukutana na Bomu zaidi , halafu unatamani kumrudia uliyemuacha, Funguka tupate experience mbali mbali