Umeshindwa kupata mchumba kanisani,msikitini utampata online kweli???!!!

Haya toen ushuhuda walio pata humu wachumba mpaka leo wamejenga familia?alafu cna muda wa ku2nga mambo ili nimfurahshe nani?
 



Kokudo hayo maneno ulivyoyatoa tungebahatika kukusikiliza wakati unaongea naamini tungesikia jazba ya juu ndani yake. Naamini kwa upande wako una nia nzuri tu ... Lakini ni wapi/lini/nini? kime trigger hizo negative emotions kuhusu kudate au kutafuta mchumba humu ndani? Vipi ulijaribu the process ya kutafuta mchumba na uka experience issue mbovu? Walau tuelewe where its coming from...
 

haijakaa vizuri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…