Umesikia aloivyosema Harmonize kuhusu Harmorapa?

Harmorapa ni msanii mzur na anajua kuchana ila harmonenga anajua zaid kuimba ndio tatzo ..jamaan hamonenga anajua tuache masihara
 
inshort nilitegemea ajibu nyodo au kwa hasira but kajibu kiheshima safi sana harmonize ila kumbuka harmorapa ndo kiboko ya mabishoo asiyegawa pasi!
Keshaona moto wa dogo...

First time alisema hamjui [emoji23][emoji23]
 
The guy is very generous.

Anastahiki pongezi.
 
Umerudia rudia kusoma hayo maneno lakini? Nakushauri soma tena na tena.
Vyovyote vile wengi tunatafuta maisha kwa ajili ya kusaidia familia zetu
 
Duu kweli kamalizia na kijembe
Kusema akomae ili asaidie familia yake ni kijembe?...... Watanzania wengi tumetokea vijijini na tumeacha familia zetu nyingi maskini...... Hivyo kumwambia mtu akazane ili asaidie familia yake sidhani kama ni kijembe bali ndio ushauri wa Kiutu uzima.!
 
kupima nguvu kivipi wakati mmoja anarap na mwingine anaimba mkuu?
Mzee wangu, wote hao wanatoka Mtwara, ipo siku utasikia wanaandaliwa shoo ili kujipatia kipato. Natumai litakuwa ni bonge la shoo na kutakuwa na nyomi la kufa ntu!!
 
Alijisikia vibaya then akafanya nini? Na sasa ndio anaongea baada ya kuona angalau dogo ana kamwanga!!!
 
Angalau wanaume wa ki-Makonde wanapeana support, wale wa ki-Sukuma wanapigana vijembe kila mtu kwenye angle yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…