Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Subirini utashangaa siku moja anatembeza bakuli!...fake sana hawa wasaniiMi nimeshangaa tu kuwa mtoto wake ada ni 8400USD kwa mwaka
Ila hata wewe madam una karangi kazuri[emoji7][emoji7] literary kuliko huyo uwoya[emoji39][emoji39]Wanasema Cleopatra alikua anaogea maziwa ili kutengeneza ngozi nzuri
Ss namna ya kuyatumia ndo sijui
Hapana,hakuzidi wwIla kwa uzuri tu..ni mzuri sanaaa
Uwoya anarudi shule sio 😂😂😂dahh bas yawezekana namkaribia Cleopatra kabisaa😂😅Hapana,hakuzidi ww
Sasa uwoya yule bila madanga hawezi kuishii hapa mjiniUwoya anarudi shule sio [emoji23][emoji23][emoji23]dahh bas yawezekana namkaribia Cleopatra kabisaa[emoji23][emoji28]
How?Yaani mpaka kesho siamini kuwa Janjaro alikula hii pisi kimasihara duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimeshangaa tu kuwa mtoto wake ada ni 8400USD kwa mwaka