Umesikia kuhusu Irene Uwoya kuogea maziwa?

Umesikia kuhusu Irene Uwoya kuogea maziwa?

Status
Not open for further replies.
67981745_180997036271588_6824526474834513343_n.jpg
 
Na mimi nilikuwa nawaza hiyo shombo si itakuwa balaa,au ndio maana labda ikawa sababu yule jamaa walioachana naye vilimshinda...?
Siwezi jua sababu ila suala la Maziwa sikubaliani nalo labda anamaanisha Maziwa mengine
 
Nimeangalia mahojiano yake kweli ana muonekano mzuri, ila sasa umri unaenda sura inaonesha utu uzima ajitahidi apate mume atulie kwenye ndoa, huu ustaa una mwisho wake asije kuzeeka mwenyewe.
Keshazeeka tayari.....
umri mammalia ni 14-29....
 
Hii tuhuma sijui kweli naskia hata janjaro alitunukiwa kwa kula kismvu vyema.
HBABA kipindi wana mahusiano na huyu dada aliliongelea hili alisema demu alikua analazmisha aliwe kisamvu ndio maana akachoka akaamua kumtema
 
Maziwa yalivyo na shombo aumaziwa gani hayo
Na akioga yanasaidia nini
 
Ndo kusema hapo yupo ndani ya maziwa!!

Kabila la wa mang'ati wanaogea maziwa wanapakaa samli mimi nikiwa shuhuda lakini hukuti wakitamba

Huyu atakua anaogea yale masulu, sijui kama umenisoma??

Masulu ni yale maji ambayo yanatokana na maziwa kuganda vibaya kama unagandisha maziwa ya mtindi

Huyu hawezi ku afford gharama hizo kwasababu yemwenyewe hana gharama kubwa

Maziwa lita moja maxmum sio chini ya buku jero, sasa hapa kama anatumia kindoo kama mimi kuogea sawa maana atahitaji lita 10 ambayo nisawa na 15000.

Yuko dar kwenye joto plus yeye ni mwanamke hivyo ratiba ya kuoga ni mara 3 inamaana akiingia bafuni kwa siku anakua kazika 45000 piga sasa mara 30 ambayo ni mwezi mzima unakuta unapata 1,350,000. Sasa hapa zidisha mala miezi 12 ambayo ni jumla ya mwaka mmoja unakuta unapata milioni 16,200,000 inamaana kama amekua akioga kwa miaka mitatu huko nyuma atakua katumia milion 48,600,000

Umeona kasheshe ya wanaojiita mastar??


Na Hayo ni makadilio madogo nimechukua thamani ya maziwa kwa bei za kitaa sio ushuani
 
Kabila la wa mang'ati wanaogea maziwa wanapakaa samli mimi nikiwa shuhuda lakini hukuti wakitamba

Huyu atakua anaogea yale masulu, sijui kama umenisoma??

Masulu ni yale maji ambayo yanatokana na maziwa kuganda vibaya kama unagandisha maziwa ya mtindi

Huyu hawezi ku afford gharama hizo kwasababu yemwenyewe hana gharama kubwa

Maziwa lita moja maxmum sio chini ya buku jero, sasa hapa kama anatumia kindoo kama mimi kuogea sawa maana atahitaji lita 10 ambayo nisawa na 15000.

Yuko dar kwenye joto plus yeye ni mwanamke hivyo ratiba ya kuoga ni mara 3 inamaana akiingia bafuni kwa siku anakua kazika 45000 piga sasa mara 30 ambayo ni mwezi mzima unakuta unapata 1,350,000. Sasa hapa zidisha mala miezi 12 ambayo ni jumla ya mwaka mmoja unakuta unapata milioni 16,200,000 inamaana kama amekua akioga kwa miaka mitatu huko nyuma atakua katumia milion 48,600,000

Umeona kasheshe ya wanaojiita mastar??


Na Hayo ni makadilio madogo nimechukua thamani ya maziwa kwa bei za kitaa sio ushuani
Nahapo umepigia hesabu ya chini sana nijuavyo mimi lita 3000 kikombe kikombe cha chai jero
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom