Daniel Mjema
Member
- Jul 23, 2007
- 77
- 84
Ndugu zangu,
Shule ya sekondari Majengo iliyopo mjini Moshi itaadhimisha Jubilee ya miaka 25 mwezi Oktoba 2011. Ili kupamba maadhimisho haya imeonekana ni muhimu wanafunzi wote waliomaliza katika shule hii kati ya 1988-2010 wawepo siku hii muhimu kwa historia ya shule hii. Wewe kama ni mmoja wa waliomaliza katika shule hii tafadhali sana tunakuomba uwasiliane na Mwenyekiti wa muda wa wanafunzi waliomaliza majengo secondari kwa simu namba 0715 432243 au email danielmjema@yahoo.com AU danielmjema@gmail.com ukitoa taarifa muhimu ya lini ulimaliza majengo, kwa sasa uko wapi na unafanya nini na kama unathibitisha ushiriki wako. Maadhimisho haya hayatanoga pia kama wale waanzilishi wa shule kwa maana waliomaliza 1988 hawatahudhuria. Tafadhali mjulishe na mwenzako.
Karibuni
Shule ya sekondari Majengo iliyopo mjini Moshi itaadhimisha Jubilee ya miaka 25 mwezi Oktoba 2011. Ili kupamba maadhimisho haya imeonekana ni muhimu wanafunzi wote waliomaliza katika shule hii kati ya 1988-2010 wawepo siku hii muhimu kwa historia ya shule hii. Wewe kama ni mmoja wa waliomaliza katika shule hii tafadhali sana tunakuomba uwasiliane na Mwenyekiti wa muda wa wanafunzi waliomaliza majengo secondari kwa simu namba 0715 432243 au email danielmjema@yahoo.com AU danielmjema@gmail.com ukitoa taarifa muhimu ya lini ulimaliza majengo, kwa sasa uko wapi na unafanya nini na kama unathibitisha ushiriki wako. Maadhimisho haya hayatanoga pia kama wale waanzilishi wa shule kwa maana waliomaliza 1988 hawatahudhuria. Tafadhali mjulishe na mwenzako.
Karibuni