Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Hapana mkuu bagamoyo,Dsm na R chugaHii itakua morogoro au wapi
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Mkuu mie std 5 tu nilingia kitaa,shule niliyoma na bahari ni mita 500 tu,nikawa naenda zangu dagoni kupaa samaki nipate helaB
Hapana mkuu bagamoyo,Dsm na R chuga
hapana mm nimesoma Kilimanjaro na hao watuNimesoma na watu wenye majina kama uliyoyataja hapo juu hadi nikahisi huenda wewe nio classmate wangu..... mimi nimesoma Njombe
jamaa vp alikuwa anapenda sanaa tangia shule?
Sawa Alex Parrish...Nimesoma na star boy wizz/wizz boy
😅Sawa Alex Parrish...
We hujawa profeseli.My Comrade Lipumba
SikuendeleaWe hujawa profeseli.
[emoji3] [emoji3]Sikuendelea
Wa milion 30 kupanda ni mastarIvi hata washindi wa tatu mzuak ni mastar??