Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo mzumbe inaitwa BHMS [emoji846] Ni mabwana AfyaHiyo degree program ndo naisikia Leo,wanahusika na nini hao watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye masomo ya PhD hamkuwa wote?ni nimesoma na JPM darasa moja shule ya msingi
wacha wee mama.Meja hahahahaaMama majaliwa mtaalamu wa lugha ya kiswahili[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyengeidi jitu la miraba minne,kada maarufu wa CCM kila wiki yuko dodoma,sikuwahi kumuona akiingia darasan,wala sikupata kujua anafundisha somo gani?Fadhili mzee wa yamaha 50
Ila yule mshenzi aliniharibi msingi wangu wa physics kabisa maajinuni yule ila poa maisha yanasonga
Wapi nyengedi na mama neema[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Amri Kiemba
sawa mkuu