Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Fadhili mzee wa yamaha 50
Ila yule mshenzi aliniharibi msingi wangu wa physics kabisa maajinuni yule ila poa maisha yanasonga
Wapi nyengedi na mama neema[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyengeidi jitu la miraba minne,kada maarufu wa CCM kila wiki yuko dodoma,sikuwahi kumuona akiingia darasan,wala sikupata kujua anafundisha somo gani?
 
Primary- shilole (shishi baby) Olevel abdul nondo alikua headboy
A level Hollaa
Chuo Hollaa
 
Back
Top Bottom