ewaaaaaa meno bado ipoNa meno bado ipo waendelea kuvunja mifupa na dada yangu😀😀😀
Chuo cha vila.za cbe co ?shule primary na secondary mimi pekee ndio nimekuwa maarufu [emoji23][emoji23]
ila kwa chuo kuna bill nenga....nandy...Kingzilla
Hivi alikuwa anasoma nini pale
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniMkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
Mkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
Daa hongera sana mkuu,tuliozaliwa kwenye familia ya kawaida sidhan kama tutafika level uliyopoMkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
Vipi kwani??? Nimeona jamaa ananchukulia poa wakati maisha yangu si mabaya,Au unasemaje ray
Primary alkuwa bdo ingawa alkuwa mjanja mjanja shule kulkuwa na wajanja zaid yke si unajua shule ya mjini Meru primary school
Mkuu mbona kawaida, kuna watu ni mabilionea Mimi bado,ila cha muhimu ni kwamba nna furaha hiyo inatoshaDaa hongera sana mkuu,tuliozaliwa kwenye familia ya kawaida sidhan kama tutafika level uliyopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tuu!sio mbaya kakaa!!hongera pia!!!Vipi kwani??? Nimeona jamaa ananchukulia poa wakati maisha yangu si mabaya??? Au unasemaje ray
Health ManagementHivi alikuwa anasoma nini pale