miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
HAHAHA,BASI POA
mkuu nahisi nilikufundisha?ulimaliza mwaka gani?Nimesoma na Harmorapa pale Kiki Primary School
2010mkuu nahisi nilikufundisha?ulimaliza mwaka gani?
mi nilifundisha 2013 pale, unamkumbuka mwalimu sandra2010
Ni kweli ulifundisha pale kiki primary school?mi nilifundisha 2013 pale, unamkumbuka mwalimu sandra
Mwalimu Saidi Ali yupo wapi? na mwalimu Fadhili mpiga picha maarufu sana sabasaba sec chama kubwa😁😁 shule inayoongoza kutoa Jamaa wa Kijitonyama geti jeusi..Nimesoma na MH SUGU... sabasaba sec school MTWARA... Darasa moja...
Sent using Jamii Forums mobile app
hili darasa lazima lilijaa vilaza sana wa shuleshule primary na secondary mimi pekee ndio nimekuwa maarufu [emoji23][emoji23]
ila kwa chuo kuna
bill nenga....nandy ...Kingzilla...keisha
Wao kina nani?
Aunty MAGO kama kitu hukijui piga kimya tu
Combination zilikuwa masomo mawili tu?Nilisoma na baba mwenye nyumba (Jamhuri ya muungano ya Tanzania) Mkwawa complex alichukua CM mimi PM
Sent using Jamii Forums mobile app
ndiyo mkuu si ya pale mtwara au unadhani nakuzingua,yule madam sandra hazeeki aisee. nilipita juziNi kweli ulifundisha pale kiki primary school?
Hiyo shule ya kitambo sana mkuu. Hivi b12 si kasoma hapo Arusha Secondary pia?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nilisoma madrasa moja na marehem sultan said seyyid kule muscat
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu wapi KIKI PRIMARY AU?