Umesoma shule ya boarding(bweni) wewe?

Mie nakumbuka mambo manne
  • Nilikua mzee wa kuwahi top layer hasa shule moja pale Tabora noma, yaani msosi ulikua unawekwa wese la hatari mchuzi mwekunduu, nilikua nina kopo moja la mafuta ya KIMBO nikitupia humo mchuzi ule wa jujuu juu nikiumaliza lazima koo liwashe
  • Nakumbuka pia nilivyokua natoroka skuli usiku kwenda disko vumbi kitaa daily, yaani tukikutana mchana huwezi jua kama ni mimi aisee, ila napiga msuli ikifika saa 4 tu huyoo naenda kubambia vitoto vya uswazi bila kusahau kuangalia movie zetu zile za kikubwa enzi izo kiingilio SHILING MIA
  • O'level nakumbuka nilikua mtu wa msuli sana nimefuga muembe huo hatari yaani kama msukule, second master alikua na kigugumizi yaani akija assemble ni kunizungumzia tu mimi na minywele yangu. Ila nilikua muoga wa mademu balaa, nilivyofika advance niaanza vimichezo vya hapa na pale si nikapata demu kitaa. Nilikua na jamaa yangu mmoja wa PBC(kwa sasa ni muheshimiwa mmoja mkubwa sana na daktari mzuri sana pale MUHIMBILI) alikua mgumu kinoma ila alikua mpenda mademu hajui kutongoza, siku moja tukaenda kwa mganga mitaa fulani nyuma ya shule uswazi kutafuta kizizi cha kuwanasa watoto, Tukapigwa changa la macho na madem hatukupata..Ikabidi tuanze kuzunguka kitaa usiku kununua wale wanaojipanga mitaani..aisee yaani maisha ya shule noma sana
  • Nakumbuka pia siku ya kwanza kuingia disko la shule nilikua nimevaa suruali ya kitambaa(jeans style enzi hizo) bila nguo yoyote ndani, Ile kucheza cheza videmu vizuri vizuri vikawa vinazingua bana. Bahati nzuri kuna demu mmoja mbaya mbaya hafu mnenee watu walikua wanamkimbia alikua kaegemea nguzo, nikaon huyu huyu. Nilimbambia aisee kwa hasira zoote nikasahau huku ndani sina hata pichu, mambo si yakaharibika, bahati nzuri kumbe na yeye alikua na stimu zake tu siku nyingi akawa katulia kama hana habari yaani watu walio kuwa pembeni walikua wanacheka kinoma mie sina habari,Tokea siku hiyo hakuna disko nilokosa aiseee ha ha ha
 
hahahaa! Hyo nayo nliisahau kaka,ilinikuta bana ya ad mbupu zkwa nyekundu na kale ka ngoz lain kakabanduka kote..,duu 2metoka mbali aisee!
Ha ha ha aisee wakati kaugonjwa kanaanza unakua ukijikuna unasikia utamu fulani , ngoja ukolee yaani kama kuna mtu kamwaga moto aiseee..ha ha ha

Ila maisha ya shule dah....
 
siku ya disko .tunapaka pafyumu moja bweni zima...kama ukiikuta imeisha unaipasua chupa unaweka maji kidogo yapate harufu then unapaka...ili unukie kwenye disko........siku za wali/nyali na nyama watu wanaoga hata mara nne kwa siku ....
 
Asee boarding school, I love the way I hate you....!!!

I've been there since nursery to advance, fetched lots of happy and sad moments....!!

The worst thing i remembers is been halted to attend school consecutively in 3 episodes from primary to advance....
*when i was in primary i was suspended for fighting a pal to unconsiousness..
*i was also suspended permanently at o-level but its a secret, i cant disclose the dead rat, it smells alot.....
*likewise in adv. i was also suspend not for attending school for a whole mid-term (3 monthes)
*jkt--hakuna suspension, but i definetly deserved to have one, yani nilikua dojaa kikosi kizima; when i was caught i can forgets thet hot soup...

But siwezi sahau wema wa boarding....
nimepata vyeti visafi ambavo i'm precisely proud of them
 
haya ngoja nianze,
Siku ya wali na nyama ilikuwa ni siku ya furaha sanaa, raha ni ile siku ya kwenda disco kwa marwasaw kama huna uniform nzuri lazma uazime ili ukienda disco usije ukakosa demu

Kulikuwa na jamaa alikuwa anaitwa Sam boy aka never miss punga(wali), jumatano ambayo ndio ilikuwa siku ya wali sam boy aka never miss punga alikuwa anatoroka saa saba darasani badala ya saa nane anaenda kuweka jiwe sehemu ya kupanga foleni, mkifika mkiona tu jiwe, mnajua ni sam boy ameshapanga foleni.

Shule yetu ilikuwa ya mchanganyiko na wasichana pia, ilikuwa, wasichana walikuwa wanataitiwa prepo mwisho saa tatu tu, ilikuwa wakitumiss sana wavulana, Usiku let say wa saanne au saa tano wanajikusanya wanapiga mawe juu ya paa za mabati kwenye hostels zao halafu wana pretend wamevamiwa, huku sisi wavulana ni mbio mtindo mmoja tunajifanya tunaenda kuokoa, tukifika kila mtu anapotelea kwenye chumba cha girlfriend wake na kuishilia hukohuko.
 

mkuu ata hyo niliisahau!,kuna dem m1 bongebonge 2likua 2namwita sura7,niliruka nae ndebe kwenye pari la tycs nikawa nalipakata toto zmazma,km unavojua masela wakaanza kudc mara oo dem sura7,nxt bash toto nikalilia tmng tena nikalpa madini nikaanza kunja nalo goti on stage!msela m1 aliekua anandc akaja kunibdmbeleza nimpe sub kwa litoto nae alipakate.,nikamtoa nduki fasta then nkaendelea kulipakata2(ikawa kla bash lazma nlimendee 2kunje goti),duuu boardng kuna raha yake wajameni!
 
Ogopa sana pumbu erosion.. Ndanda boyz hioo
 

Contrary to that, I enjoyed boarding school life very much.
 
Noumer sanaa zile sub za kwenye folen hasa siku ya wali au nyama, kama zamu yako kusave utajuta ukiwa mzembee.., but ciku ya kande no folen......, boarding raha sana
 
me nilikua cna soksi so nkachukua kijiti nikangwangua mguuni hadi pakawa kama rangi ya jivu(mguu ulikua haugusi maji) then nkanyanyua suruali kdogo nkafanikiwa kupita kwa walimu walokuwa wanakagua soksi!
 
mim ilikuwa inanichosha siku ya Wali na siku ya Nyama ni full Kufight had scout waje wasimamie lasivyo hapitwi mtu!
 
Kuna raia zilikua zinaiba tshet ata kama umeipiga chata mgongo mzma!kosa uianike then usepe..,hauikut!
 
n'gambo disko vumbi mpaka asubuhi, jumamosi royal club,frank man palace ,uhazili siku za graduation nakumbuka nilicheza disco mpaka asubuhi mulemule ndani ya disko kulikuwa na maticha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…