Umetia fora,Unaboa kweli

yah you can say that again, kuna mkaka mmoja naye ukimuona smart, lakini asianze kula asalaleh na chai anavyokunywa utadhania anapiga mluzi, yaani alikuwa ananitokeaga lakini nikawa turned off kabisa na manners zake za kula, inakera kupita maelezo.

nyie watu leo mnaniua kwa kucheka.mm ningebakia kumkodolea macho.
 
kumbe unaimba mitaarabu , kila sku naona hilo li head fone lako najua wewe ni mtu wa maaana , kumbe kazi yako ni mitaarabu na vijembe? ndio maana umemfukuza nnape asubuhi

taarabu gani wanacheza kwa style hii?
 
Uwii,hii tabia ya kuchokonoa pua inaniudhi sana,ama ya kujikuna kunako hadharani! afu jitu likimaliza hapo linataka msalimiane kwa kushikana mikono tena akung'ga'ganie! kazi kweli kweli!
kuna mmoja yeye mbele za watu anajichokonoa pua,na mdomo mpaka aupindishe,sijui raha zimemkolea?watu wakamtunga jina bila ya mwenyewe kujua.watu kama hao ukitaka uogombane nao,uwaambie ukweli.ustaarabu muhimu

wifi,how would feel a total stranger unakutana nae tu anakuambia kuhusu table manners ama dressing code yako? hivi vitu ni personal,u observe afu unaenda ku-implement tu kwa wanao na wapenzi wako!
Sasa kwanini msiwasaidie mkawaambia ili wajirekebishe badala ya kuwasema wakishaondoka?!!?!

Cheusi, acha kabisa! kuna mtu anawezqa kosa mchumba mkadhani kalogwa.kumbe manners tu!afu anajiongelesha chakula kinarukia kwenye sahani ya mwenzie!agggrrrhh!
teh teh teh umenichekesha sana sipati picha kwa kweli,kuna watu wanakula vibaya jaman naelewa why speaker kapatwa jazba.
 
kuna mmoja yeye mbele za watu anajichokonoa pua,na mdomo mpaka aupindishe,sijui raha zimemkolea?watu wakamtunga jina bila ya mwenyewe kujua.watu kama hao ukitaka uogombane nao,uwaambie ukweli.ustaarabu muhimu

au anatoa nyama kwenye meno bila kufunika mdomo,..
jamani,ukiwa umemaliza kula nyama,chukua stick then
mkono wa kushoto funika mdomo wako na mkono wa kulia ndo unatoa hivyo vinyama
vilivo ng'ang'ania kwenye meno!
 
teh teh teh umenichekesha sana sipati picha kwa kweli,kuna watu wanakula vibaya jaman naelewa why speaker kapatwa jazba.

ina kera,ila ndo hivo huwezi jua unae enda kukutana nae then mkaingia
kula,mnaweza panga kutana lunch time kama ilivo nitokea,vumilia tu ila kumwambia ukweli duh,..
hadi muwe mmezoeana sana,...

Jana kuna mdada alikua anatembea ameshika sketi kama mwanaume anavo vuta jeans kwa mbele hivi,.
kwa kushika kwake sketi,skin tyt ilikua inaonekana nkamwambia sister unatembea uchi duh,..
ali niimbia taarabu nikakoma!

Sasa huyu nimwambie unakula kama mbwa ndo inakuaje?
 

Kama unaweza mipasho unakomaa naye, vinginevyo inakula kwako
 
au anatoa nyama kwenye meno bila kufunika mdomo,..
jamani,ukiwa umemaliza kula nyama,chukua stick then
mkono wa kushoto funika mdomo wako na mkono wa kulia ndo unatoa hivyo vinyama
vilivo ng'ang'ania kwenye meno!

TOOTHPICK samahani kwa usumbufu speaker

ngoja nipeleke joke moja ya toothpick utaikuta jukwaa la jokes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…