Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nshaumiza mara moja sijawahi kuumizwa.....
nshaumiza mara moja sijawahi kuumizwa.....
mtu anayeumizwa mara ya mwanzo then ikatokea kuumizwa tena zaidi kwa mara nyengine, basi huyo kajitakia. Moyo wa mtu siwezi kuujuwa ukoje, hivyo siwezi kusema nimeumiza mara ngapi ila ni mara moja tu niliyoumizwa na sidhani kama inaweza kutokea kuumizwa kwa mara nyengine.
mapenz sio ya kuyaendekeza sana yatakugeuza chizi...just relax and enjoy life,when u met a snitch just quit early
'MIMI NINA MSEMO WANGU AMBAO SIKUZOTE UNATEMBEA KICHWANI...KWAMBA SIKUZALIWA NA MTU NA WALA HAKUNA ALIYEUMBWA KWA AJILI YANGU
ACHA TU,Hayajakufika mshukuru Mungu
Kuumizwa bado....bahati mbaya nimeshaumiza mara mbili!!
Mhhhhhhhhhhhh! sijakupatanshaumiza mara moja sijawahi kuumizwa.....
Nshaumiza sana, kabla yapo nilitendwa mimi nikajifunza kutenda wengine!
Mwombe Mungu akuondolee hiyo roho chafu, usilipize mtu asiyehusika, ni kweli kutendwa inauma bt sina hakika kama kulipiza inaondoa maumivu. Bora kujiweka pembeni kuliko hivyo unavyofanya. Muheshimu sana mtu akikupa moyo wake cz anajua ndio kapata kumbe wewe moyoni unawaza tofauti! Badilika ndugu yangu. Mungu akutangulie.Nshaumiza sana, kabla yapo nilitendwa mimi nikajifunza kutenda wengine!
mapenz sio ya kuyaendekeza sana yatakugeuza chizi...just relax and enjoy life,when u met a snitch just quit early
'MIMI NINA MSEMO WANGU AMBAO SIKUZOTE UNATEMBEA KICHWANI...KWAMBA SIKUZALIWA NA MTU NA WALA HAKUNA ALIYEUMBWA KWA AJILI YANGU
Kwani wewe hujaumiza mtu? ndio maisha tunaumizana tunasonga mbelehii kitu ni noma, tunaumizwa moyo na hatuachi kupenda tena.
hii kitu ni noma, tunaumizwa moyo na hatuachi kupenda tena.