Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ni watamu kwa kweliii, labda kwa kuwa hamjawazoea.

Mie nawala wabichi had waliokaangwa
Nilikuwa nawala,wabichi kabisa na wakukaanga, tena nilikuwa nadaka hile mida ya jioni wanarukaga wengi huku msimu huu, sasa siku moja kipindi nipo dogo niliwala sijui hawakuiva sijui, nilitapika sana,ndiyo ikawa mwanzo na mwisho,

Mie chakula nikila nikirudisha chenji ndiyo imeisha hiyo,
 
Back
Top Bottom