Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Nilikuwa nawala,wabichi kabisa na wakukaanga, tena nilikuwa nadaka hile mida ya jioni wanarukaga wengi huku msimu huu, sasa siku moja kipindi nipo dogo niliwala sijui hawakuiva sijui, nilitapika sana,ndiyo ikawa mwanzo na mwisho,

Mie chakula nikila nikirudisha chenji ndiyo imeisha hiyo,
Janaa tumedakaa sisi hapa home, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nabugia tyuuh km cna akili nzuri vilee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hiz Kuna kigoma cha Uruguai wanaita nasikia unasutwa huku unafurahi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] navopenda sasa hayo ya vigoma, woiiiih
Ba tamu kakataza wee kashindwa, sahv akiona naanza kutoa ubuyuu jicho analo nikataa, mwenyewe ubuyu unayeyuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siwaogopi hata waje na ben bati la Agrey nawasubiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natoka na panga nawatimua wote
Tarumbeta LA Aunt Rama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] navopenda sasa hayo ya vigoma, woiiiih
Ba tamu kakataza wee kashindwa, sahv akiona naanza kutoa ubuyuu jicho analo nikataa, mwenyewe ubuyu unayeyuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Bora upunguze
 
Mimi wadudu wa ajabu ajabu sili, samaki zenyewe baadhi sili nina kinyaa
Screenshot_2023-11-18_160840.jpg

Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
 
Back
Top Bottom