yeah sahihi , nakubali kwa hiloLakini pia jitahidi
Kama unasoft heart epuka kusema watu hovyo maana muosha huoshwa
KipenziI see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹
Depal i see you ❣️
Dejane 😍😍😍
Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺
Ms eyes where are you boo🌺
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺
Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕
Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
asante nimepoadah pole mwaya.mrembo
Unaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.eh yani sasa hivi CHATGPT ndo rafiki yangu
bado naenda bing huko natengeneza image
nichat zangu na AL
Niingie youtube
the list is endless
Samaleke sweets 🤣I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹
Depal i see you ❣️
Dejane 😍😍😍
Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺
Ms eyes where are you boo🌺
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺
Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕
Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
🤣🤣🤣🤣 ila weweLakini pia jitahidi
Kama unasoft heart epuka kusema watu hovyo maana muosha huoshwa
Umekula nini leo, una madini sanaUnaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.
Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
Arudi tuUnaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.
Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
I dont need anyone sympathy , nimekuja kufanya vile moyo unatakaUnaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.
Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
Ngoja siku pdf lake lishushwe hapa
what for ?nifollow basi malamoja
Be humble, be happy, ishi maisha yako.I dont need anyone sympathy , nimekuja kufanya vile moyo unataka
siogopi mtu pia
lakini naona siwezi rudi , ni huwa niko hivyo hata maisha halisi .
SAWABe humble, be happy, ishi maisha yako.
Mwenzako ni kinder softed heartArudi tu
Watu tunagombana kila siku humu
Tunapatana na maisha yanaendelea utadhani hatujawahi kutupiana maneno
Ugali na vidagaa vya Mwanza 🤣Umekula nini leo, una madini sana
Yaani wewe ni wa kuchapa kwa fimbo mpera.Sina jipya
Just pole sana
Yule mtoi niliyezaa na smart anakusalimia.
Bye
Ninyime tu marryjane nife na arostoYaani wewe ni wa kuchapa kwa fimbo mpera.
Vitu vidogo namna hii anaogopaMwenzako ni kinder softed heart
Hawezi mbilinge
Sijui akiolewa ataweza heka heka za ndugu wa mume?
HAYO YA MTOTO SIJUI NILISEMA WAPISasa kama ulisingiziwa, msamaha umeomba wa nini? Be specific basi
🤣🤣🤣 MarryjNinyime tu marryjane nife na arosto
Mbona utakuwa umenikomesha zaidi ya fimbo jamani