Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺

Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍

Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹

Depal i see you ❣️

Dejane 😍😍😍

Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺

Ms eyes where are you boo🌺

Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺

Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸

Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕

Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
Kipenzi
Nilikuwa kwenye fasting prayers almost mwezi mzima,,nimemaliza siku chache tu kabla ya Christmas.

Kwa namna yoyote tumbo lazima libane sana sana.

Lakini pia huwa sili sana...ila nataka kufidia losted kgs nilizipoteza wakati wa mfungo,,almost 7-8kgs...
Kwahiyo kakitambi ka kufutia simu nakataka.
 
eh yani sasa hivi CHATGPT ndo rafiki yangu
bado naenda bing huko natengeneza image
nichat zangu na AL
Niingie youtube
the list is endless
Unaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.

Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
 
I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺

Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍

Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹

Depal i see you ❣️

Dejane 😍😍😍

Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺

Ms eyes where are you boo🌺

Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺

Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸

Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕

Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
Samaleke sweets 🤣
 
Unaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.

Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
Umekula nini leo, una madini sana
 
Unaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.

Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
Arudi tu
Watu tunagombana kila siku humu
Tunapatana na maisha yanaendelea utadhani hatujawahi kutupiana maneno
 
Unaona unavyotilisha huruma? Just be you.. huwezi sema huko happier kisa umeomba msamaha na bado uukimbie mtandao uliko mess up’ hiyo ni dalili ya woga.

Unajitilisha huruma huku kwa watu ambao hata hawajali lolote kwa taarifa yako
I dont need anyone sympathy , nimekuja kufanya vile moyo unataka
siogopi mtu pia
lakini naona siwezi rudi , ni huwa niko hivyo hata maisha halisi .
 
Back
Top Bottom