YAANI JF NI HATARIMtoi ni mtoto π
Waliokusingizia kwenye macho ya nyama, Mungu akawajibu ktk macho ya rohoni.
Hongera kuwa na mfungo na kumtafuta Mungu. Mungu akutie nguvu katika njia uliyoichagua.Kipenzi
Nilikuwa kwenye fasting prayers almost mwezi mzima,,nimemaliza siku chache tu kabla ya Christmas.
Kwa namna yoyote tumbo lazima libane sana sana.
Lakini pia huwa sili sana...ila nataka kufidia losted kgs nilizipoteza wakati wa mfungo,,almost 7-8kgs...
Kwahiyo kakitambi ka kufutia simu nakataka.
Are you sure ni mimi nilianzisha? Au nilikuja kujibu. Unahitaji kujikumbusha?SIJAMTUMA MTU NA SI NI WEWE ULIYEANZISHA MAMBO
KOSA LANGU NI UMBEYA NA KUKUAMINI
Haha haaaa ila weweSasa kama ulisingiziwa, msamaha umeomba wa nini? Be specific basi
Mimi nasongesha hapa kama kawa hebu tubless hata na kamkono tu shostiI see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia πππΊ
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. πΊπ
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani π₯Ή
Depal i see you β£οΈ
Dejane πππ
Mideko nani kakuficha mamalake. πΊ
Ms eyes where are you booπΊ
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. πΊ
Missy Gf nakusalimia shougaa πΈ
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. π
Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai π€β€οΈπ€β€οΈ
Ndio nimekoseaVitu vidogo namna hii anaogopa
Sekeseke la mawifi hawezi huyuπ
haya ulijibu babaAre you sure ni mimi nilianzisha? Au nilikuja kujibu. Unahitaji kujikumbusha?
Ninavyojua mimi ukiamua kuomba samahani maana yake unabeba yote, yawe ya kweli au uongo. Sasa kama anasema alisingiziwa means anatakiwa aseme ya kweli aliyoyaombea msamaha na yale ya uongo aseme haya sio kweli.Haha haaaa ila wewe
Saaleko saaleko beshtie uongeze ka picha πSamaleke sweets π€£
Ok. Stay safehaya ulijibu baba
sijamtuma mtu , kosa langu ni umbeya na nimejirekebisha
Hakika una commitment sana, Hongera.Kipenzi
Nilikuwa kwenye fasting prayers almost mwezi mzima,,nimemaliza siku chache tu kabla ya Christmas.
Kwa namna yoyote tumbo lazima libane sana sana.
Lakini pia huwa sili sana...ila nataka kufidia losted kgs nilizipoteza wakati wa mfungo,,almost 7-8kgs...
Kwahiyo kakitambi ka kufutia simu nakataka.
sikuwepo nitawezaje kujua yote hayoNinavyojua mimi ukiamua kuomba samahani maana yake unabeba yote, yawe ya kweli au uongo. Sasa kama anasema alisingiziwa means anatakiwa aseme ya kweli aliyoyaombea msamaha na yale ya uongo aseme haya sio kweli.
Mim emoj tu sitaki naliaaaaI see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia πππΊ
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. πΊπ
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani π₯Ή
Depal i see you β£οΈ
Dejane πππ
Mideko nani kakuficha mamalake. πΊ
Ms eyes where are you booπΊ
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. πΊ
Missy Gf nakusalimia shougaa πΈ
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. π
Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai π€β€οΈπ€β€οΈ
Kwa kweli na hili pia ngoja nilitazame πMimi nasongesha hapa kama kawa hebu tubless hata na kamkono tu shosti
Unataka nini tena jamani? πMim emoj tu sitaki naliaaaa
ππ embu nionyeshe ka mfanoSaaleko saaleko beshtie uongeze ka picha π
i dont need thatTukuletee? π
Nyasaka ???upo mwanza kwani?Unataka nini tena jamani? π
Basi twende malaika au kule kama unaelekea nyasaka hivi panaitwajee?
Basi usiseme ulisingiziwa, sema tu nimeomba msamaha kwa yote yaliyotokea.sikuwepo nitawezaje kujua yote hayo
ndo maana nimesema kuomba radhi \