Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
π€£PoleI see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia πππΊ
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. πΊπ
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani π₯Ή
Depal i see you β£οΈ
Dejane πππ
Mideko nani kakuficha mamalake. πΊ
Ms eyes where are you booπΊ
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. πΊ
Missy Gf nakusalimia shougaa πΈ
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. π
Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai π€β€οΈπ€β€οΈ
Kwa dunia ya jf ukiomba msamaha unaonekana wewe ni dhaifu kitu kikitokea acha kiwe hivyo. Tumeumbwa kisahau watu watasahau tu. Ila ukiomba msamaha unawapa nafasi ya kukupopoa, Jifunze toka kwa Nifah. Kilichomtokea na karudi upya kila mtu hana habari naeOkay
Hadi hapa nipofika id ishaota sugu kwa battleπ
If yu tek dis too serious
Den yu really need some church
Shaggy sijui alimaanishaje..
Cc raraa reree
unao wengi Antonnia?Nimesema Wapendwa .. wako wengi tu
Mnoooo! Wewe huna wapendwa wako humu??unao wengi Antonnia?
Asante sana Mkuu,Hakika Bwana ni mwema,utukufu kwa Mungu.Hongera kuwa na mfungo na kumtafuta Mungu. Mungu akutie nguvu katika njia uliyoichagua.
Mpendwa special wa 4*6Mnoooo! Wewe huna wapendwa wako humu??
Mimi Naongelea wapendwa..Mpendwa special wa 4*6
Hivi hii ya elfu 30 kwani ilikuwaje?yani kuvumilia kusemwa ndo siwezi
kudharauliwa kisa elfu 30 na kuitwa thirty thousand hivyo hapana
nimejifunza humu people will consider me cheap tu .
Mi ndo naanza JanuaryNakumbuka,Nikiahidi kumuombea mtu linakuwa deni kwangu...ni akheri nivunje ratiba za maombi yangu,ila si Yale niliyoahidi kumuombea mtu..yatapiga kelele sana ndani yangu.
I promised you that you'll be in my prayers and I did so and still doing.
Sikukusahau,,tena nilitamka jina hivyohivyo "Binti Kiziwi".. Nikamwambia Mungu wewe unamjua kwa jina lake halisi na unajua anayoyapitia,pia unajua haja za moyo wake.
Hakuna cha hips π€£π€£π€£
Ni nguo tu Kuna namna huwa inakaa hivyo
Nikibadili nguo utaona.
Mna raha kushinda na huyo mzeeMi ndo naanza January
40 daysππ
This time nimepumzika kwa muda!
Tar 10 tuko na baba Arusha hapo km kawa
Mie nashangaa tuIts working, its working babe sis, vita ilishushwa kubwa sana, naona watu wenyewe wameanza kujiudjust. Mpaka holidays ziishe itakuwa imejulikana nini ninini na nini ninini. π
Ubarikiwe mtumishi π
Neema tu my dear!Mna raha kushinda na huyo mzee
π€£π€£
Nilikwambia nn Jana?
Now u get meπ€£π€£π€£
Nimekaa pale
π€£π€£sasa kwani huko huku kutafuta pipo jaman mpaka uwahofie π ?
[emoji1787][emoji1787]