Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺

Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍

Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹

Depal i see you ❣️

Dejane 😍😍😍

Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺

Ms eyes where are you boo🌺

Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺

Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸

Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕

Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
🤣Pole
Mi nilijua we utaona tu hata nilifuta
Duh
 
If yu tek dis too serious
Den yu really need some church

Shaggy sijui alimaanishaje..
Cc raraa reree
reading-stories-smiley-emoticon.gif
 
Nakumbuka,Nikiahidi kumuombea mtu linakuwa deni kwangu...ni akheri nivunje ratiba za maombi yangu,ila si Yale niliyoahidi kumuombea mtu..yatapiga kelele sana ndani yangu.

I promised you that you'll be in my prayers and I did so and still doing.
Sikukusahau,,tena nilitamka jina hivyohivyo "Binti Kiziwi".. Nikamwambia Mungu wewe unamjua kwa jina lake halisi na unajua anayoyapitia,pia unajua haja za moyo wake.

Hakuna cha hips 🤣🤣🤣
Ni nguo tu Kuna namna huwa inakaa hivyo
Nikibadili nguo utaona.
Mi ndo naanza January
40 days🙌🙌

This time nimepumzika kwa muda!
Tar 10 tuko na baba Arusha hapo km kawa
 
Back
Top Bottom