MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Nikastuka sana nikawaza duh kumbe daktari yuko upande wa pili pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Janaa tumedakaa sisi hapa home, [emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa nawala,wabichi kabisa na wakukaanga, tena nilikuwa nadaka hile mida ya jioni wanarukaga wengi huku msimu huu, sasa siku moja kipindi nipo dogo niliwala sijui hawakuiva sijui, nilitapika sana,ndiyo ikawa mwanzo na mwisho,
Mie chakula nikila nikirudisha chenji ndiyo imeisha hiyo,
🤣🤣Nikastuka sana nikawaza duh kumbe daktari yuko upande wa pili pia
Kwa kupenda pesa weyee, utafia na kuzikwa bank.Mimi naomba niwe muhasibu nishawahi [emoji23][emoji23][emoji23]
Amebakiza uchebe tu 😅Iki nini sasa? 😂😂😂
Babu set camera vzr tukuone, umejisiliba sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] navopenda sasa hayo ya vigoma, woiiiih[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hiz Kuna kigoma cha Uruguai wanaita nasikia unasutwa huku unafurahi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakuumiza [emoji23][emoji23][emoji23]Ntakupasua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nganiwa unawala??,Janaa tumedakaa sisi hapa home, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nabugia tyuuh km cna akili nzuri vilee.
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]
Hamna kaka tupo wote tunachezea Damu tu za watu ili baadae tutupiwe lawama hatufanyi kazi [emoji1787][emoji1787]
Tarumbeta LA Aunt Rama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwaogopi hata waje na ben bati la Agrey nawasubiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natoka na panga nawatimua wote
BarTunalewa wapi ?
Hahahaha, nipe location
Had uchebe Una mvi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Bora upunguze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] navopenda sasa hayo ya vigoma, woiiiih
Ba tamu kakataza wee kashindwa, sahv akiona naanza kutoa ubuyuu jicho analo nikataa, mwenyewe ubuyu unayeyuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mangiHahahaha, nipe location
Hahahahaha, nakujaKwa mangi
Mimi wadudu wa ajabu ajabu sili, samaki zenyewe baadhi sili nina kinyaa
Njoo,ngoja niamke kwanza[emoji2088]Hahahahaha, nakuja